OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Haji aondoke tu maana anaitumia Simba kwenye personal gain zake haswa hayo matangazo ya akina GSM. Yaani mchana msikitini usiku kanisani is it possible?!
Kama Barbara ataondoka basi Muddy nae muda huo hatokuwepo na hapo ndo Manara ajiandae kulipa mishahara ya wachezajiManara ameapa Babra nae ataondoka Simba kwa kumwaga vyote ugali na mboga,ngoja tuone hii darby ya Manara na Pisi kali itakavyoisha.
Mi Simba damu, ila huyo Manara hafai kabisa,mswahili Sana kumbeLeo nimesikia audio ikitembea mitandaoni inayodaiwa kuwa imerekodiwa na Manara akimtuhumu kwa mambo mengi Barbara.Inaonekana hawa watu wana mgogoro wa mda mrefu na hawawezi kufanya kazi tena pamoja.Wewe kama mwanasoka unadhani nini kifanyike?...
Jamaa ni mswahili haswaa, hatufaiManara atupishe ni mswahili sana
Huwezi kutengeneza Mind game inayogawa mashabiki wako mwenyewe. Yanga walipokuwa wanasema hatuchezi July 3 walikuwa na sapoti ya mashabiki. Sasa Leo unaletaje mind game kuwagawa watu wako?Noo! Hizo ni mind games tuu mkuu hawana tatizo kabisa ngoja game iishe Kama utasikia tena wako in good terms
Manara kichwani hamna kitu,aondoke tuManara hawezi kuendana na Simba ya sasa,sijawahi kumkubali ,kwenye uhamasishaji sawa lakini ana uswahili mwingi,Bidada amesimama kama CEO kwenye nafasi yake na kaachiwa asimamie mambo mengi kiasi kwamba hata mambo ya media yachujwe ndo Manara aongee ,Sasa manara hataki hivo anataka kila kitu awe wa kwanza...
AnakujaHaji
Mashabiki hatujagawanyika hata kidogo ngoja baada ya 25/7/2021 pale lake Tanganyika ndo utajua Simba ni kampuni na sio Mali ya mtu binafsi kwa Sasa Simba inaendeshwa Kama real Madrid au Bayern MunichHuwezi kutengeneza Mind game inayogawa mashabiki wako mwenyewe. Yanga walipokuwa wanasema hatuchezi July 3 walikuwa na sapoti ya mashabiki. Sasa Leo unaletaje mind game kuwagawa watu wako?
Manara kumbe akiri zero, confict za ofcn kazileta ktk mitandao, bado anamtishia boss wake, duuuuhManara mwenyewe akili kubwa, ashajua kinachoenda kutokea kwahiyo anachofanya sasa ni kutafuta public sympathy
Weledi na uswahili havikai pamojaManara uswahili unamdanganya.. manara hana uwezo wa kumtoa simba babra wala mo.. ila babra na mo wana uwezo wa kumtoa simba manara..
Mwenye pesa sio mwenzako.. hao kina chama na konde boy unawaona sababu ya kina babra na mo hapo.. hizo robo fainali za klabu bingwa unaziona sabab ya kina babra na mo.
Je manara ana uwezo wa kulipa mshahara hata wa zimbwe tu?
Hakika, ila Haji kazidi makelele na kutafuta huruma. Utaratibu wa kudeal na migongano ya kiofisi ipo wazi. Ikishindika sepa kimya kimya hukuzaliwa kuwa msemaji wa Simba. Angalia Rweyemamu alivyofanya, uliwahi kumsikia kwenye mitandao? Akapigania haki zake sasa yupo kaziniMeno ya mbwa hayaumani, wote wamoja hawa watayamaliza tuu
Na kashaipa sababu bodi kumfukuza kazi, conflicts za ofisini anazipeleka Instagram.Nilipenda san hamasa zake. Lakini tatizo la watanzania mafanikio kidogo anajiona ana uwezo sawa au kuliko taasisi. Haji amekuwa kama limbukeni wa umaarufu. Nadhani muda wa kutafuta changamoto sehemu zingine ni sasa...