Asalamareku mtanzania Karibu tena kwenye show za vpl kwenye mtanange mgumu ni dabi kubwa uwenda Africa mashiriki na kati waweza iita simba derby Wana lunyasi kati ya Haji sande manara vs Barbara Gonzalez uwezekano wa mvua kunyesha ni asilimia 40 [emoji299] timu zimekwisha kuingia uwanja huku mwamunzi wa kati ni bodi ya simba na mwamunzi wa kulia assistant refaree mshabiki na wanachama wa simba mwamunzi wa kushoto ni moooo energy zikiwa zimebaki sekunde kadhaa mtanange kuanza na refa anampa idhini kuanza Haji naaam kipyanga kimeshasikika na show imeanza Haji Haji na mpira Haji anasakama lango la Barbara, haji anaachia shuti nje kidogo ya kumi na 8 unakwenda nje kidogo ya lango wakati huo huo mwamzi wa pembeni MO akinyoosha kibendera kumaanisha ni offside lkn inaonekana sande alikuwa akifanya dribbling kutokea langoni kwake wacha tuone marudio ya picha kama tutanufaika nayo kutoka kwa lupanda HD mtumbad kwako John samweli, ilikuwa semi voly ambapo manara alikunjuka shuti kali na kwenda nje kidogo ya mringoti mitatu
Aggregate inasoma sifuri bin sifuri Usiyotarajia yanaweza kutokea dabi haina mwenyewe anachua Sasa Barbara barabara na mpira oooh sande kalabwa bonge la tobo mpka mwamzi wa kati anachekelea Barbara anakunjuka shuti kali ninagonga mtambaa wa panya na kurudi ndani anainasa tena barabara anacheza pasi fupi fupi nje ya kumi na nane lengo ni kumvuta adui asogee nje ya lango barabara anapigia kibao kataa kwenda kwa winga yake manara anakimbia kwa speed kwenda kudhibit na kuchukua mpira mwamunzi wa pembeni kibendera kipoo juu huku Barbara akiwa chini anagaagaa kwa maumivu wacha tuone picha za marudio, ohoo mwamunzi wa pembeni MO kaenda yombo na kumpa faida Barbara ikiwa si haki yake ohoo hahaha Barbara analia kwa uchungu pale chini lengo ni kumhadaa mwamzi wa kati manara anaonywa kwa mdomo akiambiwa Mara ya pili Sitakusamehe huku manara akijiuliza kwa kosa gani nilofanya na mpira ni dakika ya 43
Refaree anamaliza mpira bila ya nyongeza yeyote Sande anatoka huku akifoka kwa kutoridhishwa na maamuzi ya waamuzi naam timu zinakwenda kupumzika kujianda na dkika 45 zingine za kipindi cha pili mimi baki kwenye runinga yako na Mimi ni Baraka Hudson mpenja sauti ya radi mtafasiri wa dakika hizi 90 nikiwa na John samweli