Haji Manara "anachapiwa" Bi. Mdogo?

Sawasawa nakubaliana na wewe katika hili haipendezi kuanika wenza wetu hasa katika mitandao ya kijamii, nyaki nyaku ziko pale zinasubiri kunyakua, tena mtu ni maarufu 😂😂😂tumewaona wengi na waliangukia pua

Hata kutambulisha mashosti bwana ako haitakiwi labda awe mume na ukiwa na mume shosti wa nini, mi ndo maana naonekana naringa huwezi kujua mapito yangu labda niamue kukusimulia ila katika vitu sivitaki ni ke kuzoeana na mtu wangu hata kwa kumtizama picha tu sitaki,
 
Zile ni ngano tuu kama za lile joka kuu ulizopigiwa na babu yako, ila kwa sababu katoa mzungu basi mnaamini mpaka watoto wenu
Huu msemo unamaana kubwa hata wasingetoa wazungu.
Tafakari tu vizuri!
'Kula kwa jasho' haina ya kwamba ukiwa unakula jasho lazima litoke.

Mkuu, wanawake ndio wanasababisha familia zinatengana, watu kujiua na kuuana, kiufupi maisha kuwa magumu kwa sababu wengi wao ni malimbukeni.

Imagine unapenda mwanamke, unamuhudumia kila kitu, halafu anaenda kwa wahuni. Cha ajabu anabeba kile unachompa anaenda kuhonga. 😢
 
It goes both ways, na wanaume wanaharibu zaidi (my opinion)
 
Ok but are you really 76 years old?
Holy cow
 
Naona unajaribu kuwaelewa Wanawake. Kozi bado sana hujamaliza
 
Miaka 76 au sio
 
Angekuwa nazo kwani hata wewe ungemuacha hivi hivi tu atambe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…