Haji Manara "anachapiwa" Bi. Mdogo?

Haji Manara "anachapiwa" Bi. Mdogo?

Mastar wametuchosha na kuanika wapenzi wao wanajifanya sisi tuonekane hatujawahi pendwa. Sina shida na manara ni mwananchi mwenzangu ila hiyo tabia ya kuanika wake hapana. Leo kaandika caption ndefu kama mnara wa babeli, akimsifia mke mkubwa, wacha achapiwe.

Hamo na kajala kha! Walijuwa kutuumiza wako wapi?

Naweza kuonekana mnafiki na sipingi ila mtu mwingine ninaemsubiri kwa hamu asage meno ni zamaradi, mme anatundikwa barabarani? Unajinunulia gani urithi wa ruge unatudanganya umenunuliwa? Wadada wa daslam hawajawahi tuangusha siku ipo ilo bango ulilotundika jijini dar utalijutia.

Sema mme wa zamaradi hana hela angekuwa nazo wadada wa mjini wasingechelewa kutuvunja mbavu.
 
Mastar wametuchosha na kuanika wapenzi wao wanajifanya sisi tuonekane hatujawahi pendwa.
Shina shida na manara ni mwananchi mwenzangu ila hiyo tabia ya kuanika wake hapana.
Leo kaandika caption ndefu kama mnara wa babeli, akimsifia mke mkubwa.wacha achapiwe.

Hamo na kajala kha! Walijuwa kutuumiza wako wapi?

Naweza kuonekana mnafiki na sipingi ila mtu mwingine ninaemsubiri kwa hamu asage meno ni zamaradi, mme anatundikwa barabarani? Unajinunulia gani urithi wa ruge unatudanganya umenunuliwa? Wadada wa daslam hawajawahi tuangusha siku ipo ilo bango ulilotundika jijini dar utalijutia.
Sema mme wa zamaradi hana hela angekuwa nazo wadada wa mjini wasingechelewa kutuvunja mbavu.
Nimecheka hapo kwenye mme wa zamaradi hana ela🤣🤣🤣
 
Mtalaumu wanawake ila hata Haji ana shida pia ktk Hali halisi ndoa Tano ,ACHA vimada Kwa Nini hadumu na wanawake? Ana shida Mahala ,nahida walisema anasusa Susa kidogo kwao, huyu naye Yale Yale ati anasusa mara pafyumu, hivi jus a piece of pafyumu ndo iwagombanishe? seriously?!!!amtoroke mwanaume kisa pafyumu?!Kwa Nini anapenda kujivictimize always Haji?

Abadilike huko anakoelekea ht huyu rubyna atashindwa pia atapretend mwisho atachoka atabwaga manyanga...anaona fakhari kuoa Kila siku ila Hana haya mwanaume mwenye stara na aibu hawezi pa na kuacha Kila siku na Ndo maana Hana msimamo hata ktk mambo Mengine
 
Mastar wametuchosha na kuanika wapenzi wao wanajifanya sisi tuonekane hatujawahi pendwa.
Shina shida na manara ni mwananchi mwenzangu ila hiyo tabia ya kuanika wake hapana.
Leo kaandika caption ndefu kama mnara wa babeli, akimsifia mke mkubwa.wacha achapiwe.

Hamo na kajala kha! Walijuwa kutuumiza wako wapi?

Naweza kuonekana mnafiki na sipingi ila mtu mwingine ninaemsubiri kwa hamu asage meno ni zamaradi, mme anatundikwa barabarani? Unajinunulia gani urithi wa ruge unatudanganya umenunuliwa? Wadada wa daslam hawajawahi tuangusha siku ipo ilo bango ulilotundika jijini dar utalijutia.
Sema mme wa zamaradi hana hela angekuwa nazo wadada wa mjini wasingechelewa kutuvunja mbavu.
Haji ana shida jamani masifa kama yote mke hata miezi minne Bado[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!!gubu gubu gubu,nyodo nyodo,nyodo mwanaume mwenye mdomo mdomo kuishi na mke mtihani,mi mwenyewe siwezi Raha ya mwanaume aongee kidogo awe na ukimya flaani hivi mpk raha
 
Back
Top Bottom