Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hata kama macho yangu hayaoni vizuri lakini hiyo Pisi ya Mkono wake wa Kulia Iko njema.Ni yupi kati ya hawa?View attachment 2475955
Na yuko na flat tummy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama macho yangu hayaoni vizuri lakini hiyo Pisi ya Mkono wake wa Kulia Iko njema.Ni yupi kati ya hawa?View attachment 2475955
Nakuangalia tu ,mimi mzee wangu yupo humu humu na ni mbishi balaa na masihara mengi kama kijana na yupo kwenye 68 hivi sasa wewe fikiri wote vijana humu kuna vingunge utakuja utupiwe jini humu ohoooMkuu 76 years sio mchezo ujue.
Huyo alovaa mini skirtNi yupi kati ya hawa?View attachment 2475955
Ndo aloachwaHata kama macho yangu hayaoni vizuri lakini hiyo Pisi ya Mkono wake wa Kulia Iko njema.
Na yuko na flat tummy
Nilijua tuuHuyo alovaa mini skirt
Huyo ndio nyumba kubwaHata kama macho yangu hayaoni vizuri lakini hiyo Pisi ya Mkono wake wa Kulia Iko njema.
Na yuko na flat tummy
Usifananishe mume na bwana kakaaa ..mume ni halali yanguuNini tofauti ya bwana na mume?
Utambulishe usitambulishe siku ya kuibiwa ikifika utaibiwa tu.
[emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]why?Mtoto wa mujini huyoooo....shoga Ake na mobeyroooooooo .....kashapata Jina Sasa apate masponyooo wa saizi yake....Nilijua tuu
Kwa Urembo huo hawezi kukosa sponsor wa kuendelea kumtunzaNdo aloachwa
Hili lipresident limemvua nguo ManaraManara hana urijali wowote wa kumfanya mwanamke ajisikie mwanamke. Labda atumie vid
Hahahah mkuu mbona kutishana vitisho vizito namna hiyo asubuhi hii.Nakuangalia tu ,mimi mzee wangu yupo humu humu na ni mbishi balaa na masihara mengi kama kijana na yupo kwenye 68 hivi sasa wewe fikiri wote vijana humu kuna vingunge utakuja utupiwe jini humu ohooo
Ety mke mdg ni tapeliMdodose akiisha kukwambia nitonye.
MC fulaniHawajifunzi kuanika mambo Yao hadharani
1.DC....AKACHAPIWA
2. MCHUNGAJI.... AKACHAPIWA
3.HUYU NAE.... AMECHAPIWA.
4.....NANI NEXT..... MAANA binadamu hawajifunzi
Huyo white ni muongo, muongo mkubwa !Ety mke mdg ni tapeli
Lakini ni umri ambao mtu anaweza kuufikia na si jambo la kushangaza.Mkuu 76 years sio mchezo ujue.
.Ni yupi kati ya hawa?View attachment 2475955
Me nmesema tuHuyo white ni muongo, muongo mkubwa !
Basi tuishie hapo.
Kwa hiyo unataka na mie niseme tu 😁Me nmesema tu