Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tell these betas to man upI didn't point at you [emoji736]️[emoji736]️
*****************************
Why are you apologizing? Did you do anything wrong? Yours was just a light joke referring to a very known Scripture about the fall of man.
Apologizing while you are innocent is a sign of weakness especially for a man. Don't let anyone bully you bro and apologize only when it is necessary and/or when you know that you are definitely wrong. Man up!
View attachment 2476663
Mwaume ukimnadi sana mke au demMjini kweli hawapendi watu wapendane halafu wajioneshe.... hata kama mnapendana mnapaswa mjifanye hampendani maana wanga wengiii
Umeonaaa kuna clip inasambaa anasema ataita press na kuanza kutoa uchafu na mabayaa ya rushy, ana sahau na yeye anayo yake, cha ajabu wote wanaliwa na mtu m1. WoiiiiiiiiiiihWake wa maonesho hao kuficha aibu ya kupapaswa uwemba
Umeonaaa kuna clip inasambaa anasema ataita press na kuanza kutoa uchafu na mabayaa ya rushy, ana sahau na yeye anayo yake, cha ajabu wote wanaliwa na mtu m1. Woiiiiiiiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mjinga akitafuta sifa hula fedheha, Mpumbavu akitafuta kiki, mwisho wake ni kufa tu.. be wareKuna tetesi kwamba mke mdogo wa Haji Manara alimtoroka Haji Manara usiku akaenda kulala 5star Hotel.
Je Haji anachapiwa?
Ndio shida ya kuanika wake zako mitandaoni na kuwaleta mbele ya midume yenye fedha zao.
Kwa wale wapenzi wa Simba, nawakumbusha kwamba Simba iko Dubai na Tajiri wao, ila haihusiani
Yake hayoKuna tetesi kwamba mke mdogo wa Haji Manara alimtoroka Haji Manara usiku akaenda kulala 5star Hotel.
Je Haji anachapiwa?
Ndio shida ya kuanika wake zako mitandaoni na kuwaleta mbele ya midume yenye fedha zao.
Kwa wale wapenzi wa Simba, nawakumbusha kwamba Simba iko Dubai na Tajiri wao, ila haihusiani
Yani nacheka tu hapa kila mtu anaangaika aonekane anaijua hii story vizuri and the bad thing ni hakuna anaejua lolote mtalishana matangopori na kusubiri umbeya wa insta [emoji23][emoji23][emoji23]
Karibu Sana Shem Tena mnoooNapita huko kwako probably next week. Kama utakuwepo tule ugali halisi wa Kisukuma kama hujasahau kuupika maana si ajabu sasa hivi ni bingwa tu wa kupika matoke na kumung'unya senene. Hovyo kabisa! [emoji16][emoji16]
By the way hako kamalaika ketu kakoje? Kamekua eeeh!?
Barikiweni bana [emoji1545]
Wanakua hawajawahi kufeel true love....Unaumizwaje na mapenzi ya mwingine? Wapendane wengine wewe uumie? How is this possible?
Pumba hiyoInasemekana Kareem Mandonga ndo anakula chombo ya Haji Manara
Mwambie akapambanie Katiba mpya,aachane na Mambo ya ubishi na Masikhara ya humu wakti umeshamtupa mkonoNakuangalia tu ,mimi mzee wangu yupo humu humu na ni mbishi balaa na masihara mengi kama kijana na yupo kwenye 68 hivi sasa wewe fikiri wote vijana humu kuna vingunge utakuja utupiwe jini humu ohooo
Ushauri gani huu Joannah?Mwambie akapambanie Katiba mpya,aachane na Mambo ya ubishi na Masikhara ya humu wakti umeshamtupa mkono