Haji Manara "anachapiwa" Bi. Mdogo?

Haji Manara "anachapiwa" Bi. Mdogo?

I didn't point at you [emoji736]️[emoji736]️
*****************************

Why are you apologizing? Did you do anything wrong? Yours was just a light joke referring to a very known Scripture about the fall of man.

Apologizing while you are innocent is a sign of weakness especially for a man. Don't let anyone bully you bro and apologize only when it is necessary and/or when you know that you are definitely wrong. Man up!

View attachment 2476663
Tell these betas to man up
 
Wake wa maonesho hao kuficha aibu ya kupapaswa uwemba
Umeonaaa kuna clip inasambaa anasema ataita press na kuanza kutoa uchafu na mabayaa ya rushy, ana sahau na yeye anayo yake, cha ajabu wote wanaliwa na mtu m1. Woiiiiiiiiiiih

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeonaaa kuna clip inasambaa anasema ataita press na kuanza kutoa uchafu na mabayaa ya rushy, ana sahau na yeye anayo yake, cha ajabu wote wanaliwa na mtu m1. Woiiiiiiiiiiih

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Anavyomtishia sasa yaan mi sipendi mtu anitishie ndio naweza ongea mwaka mzima
 
Kuna tetesi kwamba mke mdogo wa Haji Manara alimtoroka Haji Manara usiku akaenda kulala 5star Hotel.

Je Haji anachapiwa?

Ndio shida ya kuanika wake zako mitandaoni na kuwaleta mbele ya midume yenye fedha zao.

Kwa wale wapenzi wa Simba, nawakumbusha kwamba Simba iko Dubai na Tajiri wao, ila haihusiani
Mjinga akitafuta sifa hula fedheha, Mpumbavu akitafuta kiki, mwisho wake ni kufa tu.. be ware
 
Kuna tetesi kwamba mke mdogo wa Haji Manara alimtoroka Haji Manara usiku akaenda kulala 5star Hotel.

Je Haji anachapiwa?

Ndio shida ya kuanika wake zako mitandaoni na kuwaleta mbele ya midume yenye fedha zao.

Kwa wale wapenzi wa Simba, nawakumbusha kwamba Simba iko Dubai na Tajiri wao, ila haihusiani
Yake hayo
 
Yani nacheka tu hapa kila mtu anaangaika aonekane anaijua hii story vizuri and the bad thing ni hakuna anaejua lolote mtalishana matangopori na kusubiri umbeya wa insta [emoji23][emoji23][emoji23]

Isharushwa kwa mange
 
Napita huko kwako probably next week. Kama utakuwepo tule ugali halisi wa Kisukuma kama hujasahau kuupika maana si ajabu sasa hivi ni bingwa tu wa kupika matoke na kumung'unya senene. Hovyo kabisa! [emoji16][emoji16]

By the way hako kamalaika ketu kakoje? Kamekua eeeh!?

Barikiweni bana [emoji1545]
Karibu Sana Shem Tena mnooo
Kumbe homelanda aseehh
Karibu mnoo,Bado hatujasahau vyote
Katoto Kako poa kabisaaa
 
Nakuangalia tu ,mimi mzee wangu yupo humu humu na ni mbishi balaa na masihara mengi kama kijana na yupo kwenye 68 hivi sasa wewe fikiri wote vijana humu kuna vingunge utakuja utupiwe jini humu ohooo
Mwambie akapambanie Katiba mpya,aachane na Mambo ya ubishi na Masikhara ya humu wakti umeshamtupa mkono
 
Mwambie akapambanie Katiba mpya,aachane na Mambo ya ubishi na Masikhara ya humu wakti umeshamtupa mkono
Ushauri gani huu Joannah?

Sisi wazee tukapambanie katiba ya nini wakati tupo tunamalizia ngwe yetu tuwapishe? Hiyo katiba itatusaidia nini sisi?

Ubishi na masikhara ni aina mojawapo ya dawa ya kupunguza Cortisol mwilini; na tunaipata humu bure. Sasa mbona tena unatunyanyapaa kwa kisingizio tu hafifu cha eti muda ushatutupa mkono?

Sijapenda! [emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom