Haji Manara "anachapiwa" Bi. Mdogo?

Haji Manara "anachapiwa" Bi. Mdogo?

Ushauri gani huu Joannah?

Sisi wazee tukapambanie katiba ya nini wakati tupo tunamalizia ngwe yetu tuwapishe? Hiyo katiba itatusaidia nini sisi?

Ubishi na masikhara ni aina mojawapo ya dawa ya kupunguza Cortisol mwilini; na tunaipata humu bure. Sasa mbona tena unatunyanyapaa kwa kisingizio tu hafifu cha eti muda ushatutupa mkono?

Sijapenda! [emoji16][emoji16]
😂😂😂😂 Mmmh Kwa Ile mi turbo yako unayoendeshaga, Nina mashaka umeghushi umri japo sijajua haswa lengo lako ni lipi!
 
5star hotel ipi hiyo? Mbona kama huna uhakika na huu umbea wako?

Sent from my Samsung A13
 
huwezi kukuta mwanamke anashare mwanaume na mawanamke mwigine halafu wawe marafiki wanamcezea ila kuna wanaume wao ambao wanao huyu manara ni kwa ajili ya mahiaji...and besides that its tight than you could ever think
Yaani nilikuwa nafikiria kama wewe vile, umeongea karibu na ukweli.
 
Nakuangalia tu ,mimi mzee wangu yupo humu humu na ni mbishi balaa na masihara mengi kama kijana na yupo kwenye 68 hivi sasa wewe fikiri wote vijana humu kuna vingunge utakuja utupiwe jini humu ohooo
Unajua ID yake?
 
Ungekuwa 76 ningekupokea PM kwa bashasha,tatizo lenu kizazi Cha Sasa walalamishi Sana,maana Raha PM Ni kuombana hela🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Nipokee tu utaona huko huko. Na mwanaume kuombwa hela ndo wajibu wake. Usiogope!
 
Back
Top Bottom