Ushirombo
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 3,558
- 2,702
Usha commentUki comment Uzi huu lazima upate sehemu ya dhambi za umbea huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usha commentUki comment Uzi huu lazima upate sehemu ya dhambi za umbea huu
😂😂😂😂 Mmmh Kwa Ile mi turbo yako unayoendeshaga, Nina mashaka umeghushi umri japo sijajua haswa lengo lako ni lipi!Ushauri gani huu Joannah?
Sisi wazee tukapambanie katiba ya nini wakati tupo tunamalizia ngwe yetu tuwapishe? Hiyo katiba itatusaidia nini sisi?
Ubishi na masikhara ni aina mojawapo ya dawa ya kupunguza Cortisol mwilini; na tunaipata humu bure. Sasa mbona tena unatunyanyapaa kwa kisingizio tu hafifu cha eti muda ushatutupa mkono?
Sijapenda! [emoji16][emoji16]
Unataka akutajie styles zilizotumika na idadi ya mabao? [emoji23]Tukuulize wewe ndiyo mleta habari.
Ehhh, ikawaje hapo 5 star hotel??
Ndio Bongo hiiMjini kweli hawapendi watu wapendane halafu wajioneshe.... hata kama mnapendana mnapaswa mjifanye hampendani maana wanga wengiii
Jamani dah![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mmmh Kwa Ile mi turbo yako unayoendeshaga, Nina mashaka umeghushi umri japo sijajua haswa lengo lako ni lipi!
Huna kauli😂Jamani dah!
Nijikongoje nije na kauli PM?Huna kauli[emoji23]
Sasa mbona unaanzisha thread za watu wenye Iq pungufu.Nitake radhi mkuu, Mimi pipoz, CDM kufa na kuzikana
Dc kachapiwa na nani ?Hawajifunzi kuanika mambo Yao hadharani
1.DC....AKACHAPIWA
2. MCHUNGAJI.... AKACHAPIWA
3.HUYU NAE.... AMECHAPIWA.
4.....NANI NEXT..... MAANA binadamu hawajifunzi
Feed your women before kuwapeleka out kulewa . Hii mambo ya madem wenu kuangalia nyama kwa meza ya wenyewe na macho ya huruma ni aibuIna maana bwana Nickson naye zigo lake linadukuliwa na mavijana?
Yaani nilikuwa nafikiria kama wewe vile, umeongea karibu na ukweli.huwezi kukuta mwanamke anashare mwanaume na mawanamke mwigine halafu wawe marafiki wanamcezea ila kuna wanaume wao ambao wanao huyu manara ni kwa ajili ya mahiaji...and besides that its tight than you could ever think
Wewe na baba yako wote pamoja humu?umejuaje?Mzee wangu ana 62 na yupo humu humu pia.
Unajua ID yake?Nakuangalia tu ,mimi mzee wangu yupo humu humu na ni mbishi balaa na masihara mengi kama kijana na yupo kwenye 68 hivi sasa wewe fikiri wote vijana humu kuna vingunge utakuja utupiwe jini humu ohooo
Ungekuwa 76 ningekupokea PM kwa bashasha,tatizo lenu kizazi Cha Sasa walalamishi Sana,maana Raha PM Ni kuombana hela🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃Nijikongoje nije na kauli PM?
Nipokee tu utaona huko huko. Na mwanaume kuombwa hela ndo wajibu wake. Usiogope!Ungekuwa 76 ningekupokea PM kwa bashasha,tatizo lenu kizazi Cha Sasa walalamishi Sana,maana Raha PM Ni kuombana hela🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃