Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Sikupingi kiongozi wangu kuna mmoja anajiita Khantwe huyu mpaka nimemsema ndio siku hizi hashindi humu.Ukiona mwanamke/msichana anaweaka picha ya msichana "mzuri" kwenye avatar yake ujue huyu ana sura mbaya na hana mume!
Hivi wewe ni mwanaume au mwanamke? Mbona unanifuatilia sana? Unanidai?Sikupingi kiongozi wangu kuna mmoja anajiita Khantwe huyu mpaka nimemsema ndio siku hizi hashindi humu.
.
Ilikuwa niingie humu saa 8 usiku, mchana, saa 12 au alfajili kwenye post mpya lazima nione kakomenti ikabidi nimuulize wewe huna hata bwana wa kulala nae? Akanijibu wali maharage nikampa ushauri akanijibu makande na jinsi anavyojibu kama mwanaume [emoji23][emoji23][emoji23]
.
Ikabidi tu ni-Conclude kwa kumwambia wewe ni mwanaume humu kuna kitu unatafuta sio kawaida akajishusha hawa wengine nao unakuta sura kama goti kisukuma tunaita (SURA MONG'O)
Ni Bora wampeleke shule Haji.Haji Manara anatisha mpaka Mo kaomba poo simchezo sisi mashabiki tunajaza uwanja kwa ajili yake iweje wamuondoe kifala tu sababu ya Macha magazeti
Ni kama mashabiki wa simba wanavyomchukia ZaheraHivi kwanini mashabiki wa yanga wanamchukia sana haji manara. Huyu haondoki simba, he is there to stay.
Umeyataka subiri ajeSikupingi kiongozi wangu kuna mmoja anajiita Khantwe huyu mpaka nimemsema ndio siku hizi hashindi humu.
.
Ilikuwa niingie humu saa 8 usiku, mchana, saa 12 au alfajili kwenye post mpya lazima nione kakomenti ikabidi nimuulize wewe huna hata bwana wa kulala nae? Akanijibu wali maharage nikampa ushauri akanijibu makande na jinsi anavyojibu kama mwanaume [emoji23][emoji23][emoji23]
.
Ikabidi tu ni-Conclude kwa kumwambia wewe ni mwanaume humu kuna kitu unatafuta sio kawaida akajishusha hawa wengine nao unakuta sura kama goti kisukuma tunaita (SURA MONG'O)
Mnisamehe πππUmeyataka subiri aje
Hahaha! Khantweeee don't take it personal nisamehe.Eti lijitu kama wewe huko kuna lijitu linakuita kaka/mama/ mjomba/shangazi
Stu.pidHahaha! Khantweeee don't take it personal nisamehe.
.
Huko kwenye uswahili swahili huniwezi mimi mtoto wa mtaa ulikuwa ni utani tu wenye kaukweli ndani yake nakusihi unisamehe kwa sababu huko unakotaka twende mimi ndio kwangu utakimbia [emoji120]
Hahaha najishusha unaniita Stupid wewe khantwe wewe nacheka kwa dharau ππ you better stop maana ......Stu.pid
Wa kustop ni mimi au wewe? Ulishawahi kuona mimi nakufuatafuata? Au unanidai?Hahaha najishusha unaniita Stupid wewe khantwe wewe nacheka kwa dharau [emoji13][emoji13] you better stop maana ......
Zahera simba wamchukie kwa lipi...kocha mbovu,litimu libovu+njaa...sisi hatuwezi mchukia kocha ambae anafundisha timu bovuu ambalo tukikutana nalo likijitahidi sana ni drooNi kama mashabiki wa simba wanavyomchukia Zahera
Mkuu kiukweli tu bila hata kumung'unya maneno huyu binti umekuwa ukimchokozachokoza sana...kama coincidence bahati nzuri kwenye uzi ambao mlikuwa mnalumbana nimeusahau ulikuwa ni uzi gani but nilikwepo...so mkuu kwa ushauri tu kama wewe ni mtoto wa kiume kweli achana tu na huyu mwanamke,ishi humu jukwaani kwa ku ignore kama kuna mtu kama yeye na usimuhusishe kabisa kwenye michango yako mbalimbali kwenye nyuzi humu jukwaani...ukifanya hivyo utaepusha malumbano yoyote baina yako na yeye yasiyo na msingi wowoteHahaha najishusha unaniita Stupid wewe khantwe wewe nacheka kwa dharau ππ you better stop maana ......