Haji Manara apigwa chini idara ya habari Simba

Hakuwa kimsemaji wa team kabisa,alikuwa kishabiki zaidi.Press conferences zake alikuwa anaongelea Yanga zaidi kuliko Simba.Press nzima anaiponda Yanga.Ndo maana tajiri kaona isiwe taabu.
 
Mpira hauchezwi mdomoni

Mpira haukui kwa sababu ya msemaji wa Team...

Mpira ni mpira na siasa ni siasa, mpira hauwezi kuwa siasa... Au sehemu ya kutangaza siasa

Mpira ni proffessional na hilo limeanza kuwekwa sawa Simba..

Simba ni kubwa kuliko mtu


Watanzania tubadilike katika hilo, mpira wa mdomoni tuacheni tuanze mpira wa uwanjani
 
Elimu yake ikoje huyo Gift Macha?@Madame Victoire
Haji anabaki kuwa shabiki tu,atakuwa anakwenda kunywa Gahawa tu pale Msimbazi.Na vile perfume haziuziki ndo acha alambe miguu viongozi wa CCM na Serikali.
 
Yule vuvuzela wa Simba,kapigwa chini ,nafasi yake imechukuliwa na Gift Macha.
Naamini Gift atakuwa kiprofeshenali zaidi,maana press conference za Haji zilikuwa ni full kuisema Yanga.
Jamaa hakuwa pfrofeshonel kabisa.
Your comments are not true wewe sema.ni
[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196] Hajji bado yupo saaana kuwatesa
 
Ndio
 
Haji ni mshabiki wa Simba ila kuwa msemaji haikuwa sahihi, yeye alishindwa kujua kuwa nafasi yake ilikuwa kuzunhumza ya Simba na sio kushindana na Yanga.
Kwa Simba ilipofika ilihitaji watu makini na sio mashabiki tena kuiongoza Simba.
Haji ana mazur yake ila muda sio rafiki kwa maendeleo ya Simba.
Simba inaenda kuendeshwa kibiashara kwa ajili ya faida na sio kuishabiki tena kwahiyo inawahitaji watu wa kuifanya iwe buashara kubwa.
Kila la kheri bwana Haji Manara uliyoyafanya ni mazur ila yanahitajika mazuri zaid
 
Nimeingia kwenye page ya haji..zile caption ndefu ndefu naona hamna tena[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bado yupo sana simba hata kama sio kwa cheo hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…