agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,400
Pole sana manara bado yupo simbaHaji ni mshabiki wa Simba ila kuwa msemaji haikuwa sahihi, yeye alishindwa kujua kuwa nafasi yake ilikuwa kuzunhumza ya Simba na sio kushindana na Yanga.
Kwa Simba ilipofika ilihitaji watu makini na sio mashabiki tena kuiongoza Simba.
Haji ana mazur yake ila muda sio rafiki kwa maendeleo ya Simba.
Simba inaenda kuendeshwa kibiashara kwa ajili ya faida na sio kuishabiki tena kwahiyo inawahitaji watu wa kuifanya iwe buashara kubwa.
Kila la kheri bwana Haji Manara uliyoyafanya ni mazur ila yanahitajika mazuri zaid
Mme wangu yupo busy na SADC,nipo namsubiri arudi.Anarudi saa kumi Alfajiri.
Ka Victoire kana majunguuu..Kametoka kule siasani kumbe kamejaa huku tele kanapiga jungu...Yanga mwaka huu watapata tabu sana, nasema watapata tabu sana, vipigo vyake vitakuwa vya mbwa koko!Haji anabaki kuwa shabiki tu,atakuwa anakwenda kunywa Gahawa tu pale Msimbazi.Na vile perfume haziuziki ndo acha alambe miguu viongozi wa CCM na Serikali.
Haji Manara anatisha mpaka Mo kaomba poo simchezo sisi mashabiki tunajaza uwanja kwa ajili yake iweje wamuondoe kifala tu sababu ya Macha magazetiKa Victoire kana majunguuu..Kametoka kule siasani kumbe kamejaa huku tele kanapiga jungu...Yanga mwaka huu watapata tabu sana, nasema watapata tabu sana, vipigo vyake vitakuwa vya mbwa koko!
Hahahhahhh si unajua tena ka Victoire a.k.a me ofcourse, ni kashabiki ka Yanga. Unajua tatizo Haji press zake zote alikuwa anaiongelea Yanga kuliko hata team yake Simba.Ka Victoire kana majunguuu..Kametoka kule siasani kumbe kamejaa huku tele kanapiga jungu...Yanga mwaka huu watapata tabu sana, nasema watapata tabu sana, vipigo vyake vitakuwa vya mbwa koko!
Yaani yule akishinda ubunge,nitawadharau sana wanadsm.
Siijui Elimu yake. Ila atakuwa walau na diploma ya mawasiliano,siyo huyu Haji la saba na uzoefu wa utapeli.
Pole sana manara bado yupo simba
Angekuwa nayo angeshatambia nayo. Ana kicertificate cha DSJ.Ikute alinunua maana enzi za JK kila kitu kiliwezekana.
Ukiona mwanamke/msichana anaweaka picha ya msichana "mzuri" kwenye avatar yake ujue huyu ana sura mbaya na hana mume!Hahahahaha mkuu ngoja nimuulize swali hivi victoire una mume au unatafuta mume humu?