Haji Manara: Mimi bado ni Msemaji wa Yanga, Hukumu ilikuwa ni ya kuchafua brand yangu, adai Rais Karia alitoa maneno machafu

Exactly, aka kajamaa ni kirusi hatari kwenye soka la Tz
 
dada upo? achana na huyo mswahili..kadri anavyoongea anazidi kuharibu ugali wake..sjui maboss zake wanawezaje kufanya nae kazi.
Naona hata hao mabosi nao wamemchoka ndiyo maana wanamuelekeza njia ya kujimaliza yeye mwenyewe. Kama amepewa room ya kukata Rufaa hizi kelele anazofanya na zinazofanywa na wale wazee wa Yanga ni mpangomkakati wa kuachana na takadini kiana bila wao kuwa na lawama. Hii kauli ya leo ndiyo imehitimisha rasmi ajira ya zeruzeru kwenye tasnia ya mpira wa miguu. Kwaheri Haji Sunday Manara katika mpira wa Tanzania. Mazwazwa walikupenda ila TFF imekupenda zaidi
 
Ni bora Manara kaongea maana ni maswali ambayo nilikuwa najiuliza na sipati majibu, Kamati ilisema manara alimtolea maneno machafu karia lakini Maneno aliyoyatoa karia kwa manara kamati aikuyasema!!! Hukumu ililenga maneno ya manara tu aikuyaona maneno ya karia??? Ni mambo ya ajabu aya kwamba Manara atoke uko alipo aende kumtolea karia maneno machafu bila sababu aiingii akilini! Sasa leo tunashukuru tumeyajua maneno aliyoongea karia kumbe yeye ndo chanzo cha kurushiana maneno alafu kamati yake inafunika kombe mwanaharamu apite kwa kumuangushia manara jumba bovu badala ya kuanza na bossi wao? Hii sio sawa ata kidogo kama ni sheria basi ingewakata wote na sio kufanya masmuzi ya ovyo kama yale
 
Tff wamkazie tu aliyemuajiri . BRAND IPI? Yani wanaume wenzie watumie fedha kuzijenga Team , yeye from know where anakuja kujitapa ana BRAND?

Aunde team yake out Simba na Yanga then aijenge iyo brand anayoizungumzia.

Anapewa platform anaona kitonga
 
Bado sioni sehemu yoyote anayokana kutofanya matukio aliyotuhumiwa, na ikiwa issue ni hukumu iliyotolewa presss conference ndiyo njia sahihi ya kuliweka sawa hilo swala?

Ni lazima tutarudi palepale kwenye RUFAA (documents), hatuwezi kuendesha ofisi kwa maneno.
 
Unakata rufaa vp ukiomba nakala ya hukumu hupewi
 
Mimi mpaka sasa ninaamini MANARA alichokozwa na Karia

Hatuna Rais pale; tumepigwa
 
Mimi mpaka sasa ninaamini MANARA alichokozwa na Karia

Hatuna Rais pale; tumepigwa
Hata kama amechokozwa,kosa alilofanya ni kutoa maneno machafu.
Hata mahakamani mwanasheria anaweza akakuchokonoa makusudi ajue una control kiasi gani,ukibugi tu umekwisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…