Haji Manara: Mimi bado ni Msemaji wa Yanga, Hukumu ilikuwa ni ya kuchafua brand yangu, adai Rais Karia alitoa maneno machafu

Kabla ya Mo kuja Simba huyu bwege haya ndiyo yalikuwa maisha yake,ukizoom utaona mkono wa kushoto(mkono wa mavi) ambekumbatia viandazi ambavyo aliviibaView attachment 2303464
Kuna siku nilimkuta posta mpya kwenye foleni kabla Mo hajaja Simba kapo kwenye Suzuki imechoka kameloa jasho sijui hata km ile gari ilikuwa na AC hadi nikamuonea huruma eti leo anabrand [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] dah kweli hamnazo.
 
Anakataje rufaa na nakala ya hukumu hamtaki kumpa
 
Halafu lile tukio ni yeye binafsi na kiongozi wa Tff,lakini kwenye press yake anajifichia kwenye timu ya Yanga na viongozi wake, huyu jamaa anajiona yeye ndio mwamba wa kuongea, hapa Tff wanatakiwa wamuadhibu tena adhabu kali sana
Kwann hajaitwa karia binafsi na badaka yake secretariet kama ni SWALA la kibinafsi
 
Maisha ni mapambano kwani kuchoka kimaisha Kwa mtu ww unafaifika na nini
 
Kwann karia hajaitwa wewe from know where unaeza kumrushia maneno mtu ..?
Ina maana hayo maneno ya Karia (kuhusu kinyesi) amesikia Manara tu. Senzo, gharib, wengine wote wasisikie asikie manara tu. jiongeze wewe. ile press ya kabla manara alisema lolote kuhusu karia kutoa maneno ya matusi? kwanini aseme leo. anatafuta nn?
karia kapeleka uahahidi wake ndo maana manara kahukumiwa.
 
Manara akitaka kumshtaki Karia anaenda wapi?... Nani yupo juu ya Karia protocol
 
Maisha ni mapambano kwani kuchoka kimaisha Kwa mtu ww unafaifika na nini
Kapambania wapi watu wang'arishe timu wewe uje uteleze useme umepambania, hapo Yanga alipo amepambania kuifanya Yanga iwe level iliyopo sasa,acheni kutelezea kwenye mifuko ya watu.
Akajifunze maisha na kuheshimu watu wengine sio mnashinda vijiweni kusubiria vitonga
 
Kwaio manara atoke alikotoka aanze kumtukana karia
 
We simba mambo ya yanga yanakuhusu nn
 
Anatia kinyaa. Kila mara yeye yupo sahihi, wengine wote wanamsakama na kumwonea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…