MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Nasikia unapanga kufanya Press Conference yako ya Kutapika Nyongo yako dhidi ya Simba SC hasa Watendaji wake kati ya Jumatatu au Jumanne ijayo.
Nami pia nakuonya mapema sana just ya hili kwani ukitekeleza hii adhma yako utakuwa umekaribisha Mashambulizi hatari ya Kiyahudi dhidi yako.
Wakati ukijiandaa Kutema Nyongo na Kuichafua Simba SC hasa Watendaji wake nami nakuambia tu ya kwamba tunamalizia Kuzipangilia Meseji zako zote za Kuihujumu Simba SC kwa Yanga SC kupitia Marafiki zako Watatu wa Yanga SC na Mmoja akiwa ni Mtoto wa Mstaafu Mmoja Tanzania.
Baada ya hapo tutaweka Ushahidi wa Kijiografia wa ulipokuwa Siku ya Jumanne na Jumatano eneo la Kigamboni na Maadui wa Simba SC.
Nakuomba mtafute Mtaalam yoyote kisha alikague Gari lako kisha utagundua kuna nini Kilifungwa bila Wewe Kushtuliwa ili ujue kuwa pamoja na kujifanya Kwako Mtoto wa Mjini ila bado ni Mngendembwe tu kwa waliokuzidi Akili.
Mwambie pia na Mkeo kuwa hizo Chattings zake na Waandamizi na Matajiri wa Yanga SC ili Wewe utumike kama Delilah kwa Mumeo Haji Manara tunazijua na zipo tayari tayari pia.
Jana umejifanya Kusambaza Voice Note Kisanii ukijifanya Unalia ili kutatuta Huruma kwa Watu kisha baada ya hapo ukawa unacheka na Watu Wawili mliokuwa nao hapo Mikocheni na baadae mkaenda Kugambeka eneo Jirani.
Na ulilolisahau ni kwamba hata huko Yanga SC ambako unatumika kuna Watu wa Simba SC ambao ni wana Yanga SC kama ilivyokuwa huko nyuma ambapo Kaburu alikuwa Simba SC ila alikuwa ni mwana Yanga SC na Kifukwe alikuwa Yanga SC lakini Kiuhalisia ni mwana Simba SC.
Haji Manara umeshajiuliza ni kwanini ile Juzi ulipoenda Kisiri Kigamboni Avic Town walipo Yanga SC muda huo huo tu CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez akakutumia Meseji fupi ya Kukuambia uache Ujinga, Unafiki na Usaliti?
Nina mengi juu yako Haji Manara ila nakuonya acha Kudanganyika na Kutumika na hao wanaokupa Kiburi na nakuambia usije Kuthubutu kufanya hiyo Press Conference yako Wiki ijayo kwani Simba SC haitokujibu na nawaomba Simba SC wasikujibu ila watuachie Sisi tunaokujua vyema ndani nje tuweze Kukuanika na najua hata hawa wanaokuamini na kukuonea Huruma leo hii watakuchukia.
Umeshatusaliti vya kutosha inatosha!!!!
Nami pia nakuonya mapema sana just ya hili kwani ukitekeleza hii adhma yako utakuwa umekaribisha Mashambulizi hatari ya Kiyahudi dhidi yako.
Wakati ukijiandaa Kutema Nyongo na Kuichafua Simba SC hasa Watendaji wake nami nakuambia tu ya kwamba tunamalizia Kuzipangilia Meseji zako zote za Kuihujumu Simba SC kwa Yanga SC kupitia Marafiki zako Watatu wa Yanga SC na Mmoja akiwa ni Mtoto wa Mstaafu Mmoja Tanzania.
Baada ya hapo tutaweka Ushahidi wa Kijiografia wa ulipokuwa Siku ya Jumanne na Jumatano eneo la Kigamboni na Maadui wa Simba SC.
Nakuomba mtafute Mtaalam yoyote kisha alikague Gari lako kisha utagundua kuna nini Kilifungwa bila Wewe Kushtuliwa ili ujue kuwa pamoja na kujifanya Kwako Mtoto wa Mjini ila bado ni Mngendembwe tu kwa waliokuzidi Akili.
Mwambie pia na Mkeo kuwa hizo Chattings zake na Waandamizi na Matajiri wa Yanga SC ili Wewe utumike kama Delilah kwa Mumeo Haji Manara tunazijua na zipo tayari tayari pia.
Jana umejifanya Kusambaza Voice Note Kisanii ukijifanya Unalia ili kutatuta Huruma kwa Watu kisha baada ya hapo ukawa unacheka na Watu Wawili mliokuwa nao hapo Mikocheni na baadae mkaenda Kugambeka eneo Jirani.
Na ulilolisahau ni kwamba hata huko Yanga SC ambako unatumika kuna Watu wa Simba SC ambao ni wana Yanga SC kama ilivyokuwa huko nyuma ambapo Kaburu alikuwa Simba SC ila alikuwa ni mwana Yanga SC na Kifukwe alikuwa Yanga SC lakini Kiuhalisia ni mwana Simba SC.
Haji Manara umeshajiuliza ni kwanini ile Juzi ulipoenda Kisiri Kigamboni Avic Town walipo Yanga SC muda huo huo tu CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez akakutumia Meseji fupi ya Kukuambia uache Ujinga, Unafiki na Usaliti?
Nina mengi juu yako Haji Manara ila nakuonya acha Kudanganyika na Kutumika na hao wanaokupa Kiburi na nakuambia usije Kuthubutu kufanya hiyo Press Conference yako Wiki ijayo kwani Simba SC haitokujibu na nawaomba Simba SC wasikujibu ila watuachie Sisi tunaokujua vyema ndani nje tuweze Kukuanika na najua hata hawa wanaokuamini na kukuonea Huruma leo hii watakuchukia.
Umeshatusaliti vya kutosha inatosha!!!!