3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
Jamaa anawatetemesha balaa! Viti vinachoma!
Thubut mzigo wenu huo uchukueni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa anawatetemesha balaa! Viti vinachoma!
Ni wapumbavu kupindukia ..unapoenda mahakamani jaji hua anatoa nafasi kwa mshtaki na mshtakiwa wote kuongea kila mtu kwa nafasi yake , tunataka kusikiliza anachotaka kusema Manara
ila mjiandae kwa kesi pia maana hayo ya kutrace simu zake na location ni kuingilia faragha ya mtu hivyo yaishie hivyo hvyo sio kupelekana tena mahakamaniHiyo press inatakiwa waandishi wamzilie, halafu ajue anacheza na hisia na imani za wengi. Akibugi itamgharim, simba na yanga ni dini za watu..
Wacha utoto wewe, Manara kaokotwa na Simba SC anazurura kariakoo amepauka vumbi leo ajifanye mjanja zaidi ya Simba?Msimtishe, Manara, kama mlijua tangu zamani mbona hakukuwa na reaction?
Hakuna cha GPS wala tracking yoyote. Sema amepiga kwenye Mshono tu.
Hapotezi chochote , Simba itawagharimu.
Muguseni muone nani atanuka
Umefeli kwenye judgement, Barbara kuja juzi hakumuondolei nafasi yake na mapenzi yake kwa Simba, na wakati huo huo, huyo Manara unaemuamini ndio anaitumia imani uliyonayo kwake kuihujumu Simba, wake up.Kwani kuna kitu gani ambacho unahofia atakisema hadi azuiliwe kuto kufanya press? Kuna madudu yanafichwa eeh??
Binafsi niseme tu ni upumbavu mkubwa sana kusema eti Haji anauza timu kwa yanga.
Haji Manara huyuhuyu anaye tukanwa matusi kila siku kwasababu ya Simba ?
Simba ikifungwa yeye ndio wakwanza kushambiliwa mara wamu edit Kama mwanamke mitandaoni mara wamuite Nguruwe.
Haji huyuhuyu anaye gombana na waandishi wa Yanga kina kitenge, Shafii Dauda prisca n.k wanao zusha uongo kila siku dhidi ya Simba.?
Haji huyuhuyu Simba inafungwa analia machozi anakuja mbele ya waadhishi wa habari na tv kuonyesha jinsi wavyo hujumiwa?
Eti leo yeye ndio anaambiwa anaenda kuuza timu.
Haji huyuhuyu Simba inaenda kucheza ndondo kipindi hicho yeye anakaa mlangoni kukusanya viingilio timu ipate pesa leo huyu auze timu huyu.
Tena anaye mtuhumu ni babra aliye kuja juzi tu kwenye timu heti yeye ndio kawa mfia timu kuliko Haji?
Huyu Honspopa huyu si ndio yeye aliye watuhumu kina chama na Zimbwe kuwa wanauza game hadi kulekea Simba kufungwa Leo kageukia kwa Haji??
Wamseme kwa mambo mengine ila si kuuza timu hiyo ni matusi makubwa sana kwa mtu kama haji ?
Ashajitoa kwanza hana mkataba wa kazi maana aliukataaKashajitoa tayari mkuu??
Kwa lugha nyingine kusaidia polisi ni kuwa wewe ni mtuhumiwa na unapelekwa kituoni kuhojiwa. Ni ukweli kuna ugumu wa kuwapata wahusika, ila mtoa mada kasema watabainisha vitu walipachika kwenye gari na simu ya Manara ili kunasa mawasiliano yake, akisema hadharani hili ni ikionekana ni ukweli, huyu unasukuma ndani fasta.Ni rahisi kusema ashikwe kusaidia upelelezi
Kusaidia upelelezi sio kazi ya raia ni kazi ya jeshi ndio maana tunawalipa
Kusaidia upelelezi ni iwapo watanilipa
Kama hakuna malipo au interests zangu zinakua served basi kazi ya kusaidia wasahau
Ni maajabu watu kudhani kuisaidia serikali kazi zake ni kitu cha maana,sio kitu cha maana ni upumbavu
Serikali ifanye kazi zake yenyewe bila kusaidiwa popote
Pili,kumshika huyu mtu ni rahisi kuongea ila kumshika practically huwezi
Ndio mpaka uende JF uvunje server usome IP yake,na kama likua kwenye VPN,forget it!
Acha kumtisha Haji.
Mimi ni MwanaSimba ila muumini sana wa ukweli. Kama kuna longolongo zinafanyika huko ndani, Haji aeleze ukweli.
Hatuwezi kuyakimbia matatizo kwa kujidanganya kuwa hayapo. Na bora yajulikane na kutatuliwa kwa muda huu, kuliko tuendelee kuyafuga baadae yatuharibie.
Muda pekee wa kuwekwa wazi ni sasa wakati tupo ukingoni mwa mechi za mashindano. Likizo iishe na varangati hili liishe. Tukirudi tupo fresh kabisa.
Kuna matatizo mengi Simba SC, ila kivuli cha kufanya vizuri kinayaficha hayo yaliyopo.
Ukweli ni kuwa, Haji kakosea. Lakini, hatuwezi kumtisha kwa kumzuia kusema uozo uliopo.
Nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba Haji anaihujumu Simba...never ever.
Nyie wanasimba acheni kujitikisa huku mitandaoni mwisho wa siku nyote mnaonekana kina manara tu. Kama mtu ndio tabua yake na hamumchukulii hatua yoyote ina maana mnamuogopa.
Hata kwenye hili ni ajabu mpaka sasa mnabwabwaja tu mitandaoni, hakuna chochote toka kwenu. Hii ishu ni nzito, ikiwa na maana kwamba wanasimba hamwalipi inavyostahili wafanyakazi wenu.
Lakini tuliiii eti wanasubiri kwanza mechi ya j2 ipite, hili jipya sasa huyu anasema sio mechi ipite ila ni mpaka manara aitishe press na waandishi.
SIMBA MNAMUOGOPA MANARA.
Kwani kuna kitu gani ambacho unahofia atakisema hadi azuiliwe kuto kufanya press? Kuna madudu yanafichwa eeh??
Binafsi niseme tu ni upumbavu mkubwa sana kusema eti Haji anauza timu kwa yanga.
Haji Manara huyuhuyu anaye tukanwa matusi kila siku kwasababu ya Simba ?
Simba ikifungwa yeye ndio wakwanza kushambiliwa mara wamu edit Kama mwanamke mitandaoni mara wamuite Nguruwe.
Haji huyuhuyu anaye gombana na waandishi wa Yanga kina kitenge, Shafii Dauda prisca n.k wanao zusha uongo kila siku dhidi ya Simba.?
Haji huyuhuyu Simba inafungwa analia machozi anakuja mbele ya waadhishi wa habari na tv kuonyesha jinsi wavyo hujumiwa?
Eti leo yeye ndio anaambiwa anaenda kuuza timu.
Haji huyuhuyu Simba inaenda kucheza ndondo kipindi hicho yeye anakaa mlangoni kukusanya viingilio timu ipate pesa leo huyu auze timu huyu.
Tena anaye mtuhumu ni babra aliye kuja juzi tu kwenye timu heti yeye ndio kawa mfia timu kuliko Haji?
Huyu Honspopa huyu si ndio yeye aliye watuhumu kina chama na Zimbwe kuwa wanauza game hadi kulekea Simba kufungwa Leo kageukia kwa Haji??
Wamseme kwa mambo mengine ila si kuuza timu hiyo ni matusi makubwa sana kwa mtu kama haji ?
Tatizo gari la kazini. Anajidai kapewa gari kumbe gari lenyewe ni mtego. Ukute lina camera.Kumbe mmempigilia GPS haruki huyu jamaa
Wandishi wakatae kwenda?wakati hiyo ni habari?!!Yaani mechi ya YANGA, na SIMBA inavyokuzwa utadhani kuna mpira basi kumbe ni butua butua tu! Yaani mtu anaweza kuhisi ni bonge la mechi kama la brazil na argentina miaka hiyo ya 90!!Hiyo press inatakiwa waandishi wamzilie, halafu ajue anacheza na hisia na imani za wengi. Akibugi itamgharim, simba na yanga ni dini za watu..
Kwani kawaatack wapenzi wa simba au viongozi wa simba!? Na sio mara moja anaaibisha brand yenu ila anakaliwa kimya tu. Nyie mashabiki mtamuandama mitandaoni lakini hamuwezi kutoa uamuzi wowote juu ya hatma yake.Unataka Simba ichambane na Manara?
Hii ni Simba siyo utopolo.Simba haiwezi kumjibu manara kama unavyotaka,sisi wapenzi wa Simba ndio tutamjibu
Ile ni attitude ya Manara ambayo mashabiki wa Simba mmekuwa mkiipraise kila siku kwamba "Semaji La Dunia Limesema"..mara ngapi amekuwa akitukana na kudhalilisha watu? Waandishi? Etc na mishabiki ya Simba mmekuwa upande wake na kumtetea? Tulieni dawa iwaingie sasa, endeleeni kumtetea.Na utakuwa mpumbavu sana kuamini Manara ana nia njema na Simba kwa kuvujisha clip zile kabla ya derby