Haji Manara ndiyo kaenda Marekani kwa mara ya kwanza nini?

Haji Manara ndiyo kaenda Marekani kwa mara ya kwanza nini?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
1692730473318.png

Wanasema mtu akitoka kijijini akaja mjini kwa mara ya kwanza basi kitu cha kwanza lazima aagize soda na mkate.

Na mtu kutoka mkoani akifika Dar kwa mara ya kwanza lazima aende Coco Beach halafu apite Manzese darajani kupiga picha akiwa kwenye daraja..

This is true of Haji in the USA, akifika DC ataenda kupiga picha karibu na White House🤣🤣🤣
 
Punguza wivu mkuu utaishi maisha marefu,

Wanaume tunapitia mengi sana acha watu wafurahi kwa muda mfupi,

hata wewe waweza subiri kesho mtaani mdundiko upite ucheze.
Siku hizi kuna ka mtindo kamezuka mitandaoni uki komenti kitu critical kuhusu celebrity wanaibuka washamba kama wewe wanakuita " hater".
Style up mtoto mdogo
 
Siku hizi kuna ka mtindo kamezuka mitandaoni uki komenti kitu critical kuhusu celebrity wanaibuka washamba kama wewe wanakuita " hater".
Style up mtoto mdogo
Tafuta pesa brother punguza wivu.

Hata hao wanaotoka vijijini uliowaponda wakianza kutembelea ma range rover nahisi watu kama wewe mnaanza kujadiliana "huyo mshamba tu, gari wengine tumeanza kuendesha zamani" hapo mda huo huna hata gari,
 
Mbona mimi nilipokuja dar es salaam sikufika koko wala daraja la manzese na mpka now nipo town sijawahi fika coco. Ukipunguza kawivu utakua tofauti na jinsia ya kike

Ur a poor judge of character. Wivu upo wapi hapo kwenye Uzi wangu?

Hufai kuwa intelligence officer cause huwezi kusoma rhythm ya maandishi ya mtu
 
Wanasema mtu akitoka kijijini akaja mjini kwa mara ya kwanza basi kitu cha kwanza lazima aagize soda na mkate.


Na mtu kutoka mkoani akifika Dar kwa mara ya kwanza lazima aende Coco Beach halafu apite Manzese darajani kupiga picha akiwa kwenye daraja..

This is true of Haji in the USA, akifika DC ataenda kupiga picha karibu na White House[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilipofika Dar
Cha kwanza ilikuwa kwenda kupiga picha kwnwye sanamu la Posta

Sanamu miaka nenda miaka rudi naliona kwenye TV
Nikaona nikalishuhudie live .
 
Back
Top Bottom