Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipofu kaona juaWanasema mtu akitoka kijijini akaja mjini kwa mara ya kwanza basi kitu cha kwanza lazima aagize soda na mkate.
Na mtu kutoka mkoani akifika Dar kwa mara ya kwanza lazima aende Coco Beach halafu apite Manzese darajani kupiga picha akiwa kwenye daraja..
This is true of Haji in the USA, akifika DC ataenda kupiga picha karibu na White House[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nedelete ili msinione??? Nawaacha ili mnione nnavoinjoi maisha huko mbele 🤣🤣🤣Ukienda Italy si ndiyo uta delete number zetu kabisa?😄
Lengo lako ni utugawie mateso bila chuki😃.Nedelete ili msinione??? Nawaacha ili mnione nnavoinjoi maisha huko mbele 🤣🤣🤣
GENTAMYCINE mambo vipi mkuu?😃Anaenda Kawe
Unaleta uchochezi mkuu 😆😆
Anza kudunduliza nauli basi uje utupe ramani sie ...Yani watanirudiasha parcel tofauti na hapo sirudi....
kuna mdada anaenda German nitamuomba mwaliko kutest, akikubali tu bora nikaokote makopo huko 🤣🤣🤣
Ntakopa kausha damu halafu naenda mbele, nakua mimi ndio nimewakaushaAnza kudunduliza nauli basi uje utupe ramani sie ...
Ajabu kuna watu walisema hivyo walienda na wamerudi na hawataki kwenda tenaSiku nikikanyaga marekani mimi, bongo sirudi
Ukiingia kichwakichwa bila timing kwa matarajio ya Ulaya kila kitu ni rahisi lazima urudi.Ajabu kuna watu walisema hivyo walienda na wamerudi na hawataki kwenda tena
Kama niliwahi kusoma sehemu, zamani kidogo, kuwa baba'ke Haji Manara ni katika wachezaji mpira wa mwanzo wa Tanzania waliowahi kucheza mpira Ulaya (Uholanzi) na baadae USA na Australia halafu UAE.Wanasema mtu akitoka kijijini akaja mjini kwa mara ya kwanza basi kitu cha kwanza lazima aagize soda na mkate.
Na mtu kutoka mkoani akifika Dar kwa mara ya kwanza lazima aende Coco Beach halafu apite Manzese darajani kupiga picha akiwa kwenye daraja..
This is true of Haji in the USA, akifika DC ataenda kupiga picha karibu na White House🤣🤣🤣
Kama niliwahi kusoma sehemu, zamani kidogo, kuwa baba'ke Haji Manara ni katika wachezaji mpira wa mwanzo wa Tanzania waliowahi kucheza mpira Ulaya na baadae USA na halafu UAE.
Haji alikuwa anaishi na wazazi wake.
Labda hajaenda toka utotoni kama aliishi huko na wazazi wake.