Haji Manara ndiyo kaenda Marekani kwa mara ya kwanza nini?

Haji Manara ndiyo kaenda Marekani kwa mara ya kwanza nini?

Wanasema mtu akitoka kijijini akaja mjini kwa mara ya kwanza basi kitu cha kwanza lazima aagize soda na mkate.


Na mtu kutoka mkoani akifika Dar kwa mara ya kwanza lazima aende Coco Beach halafu apite Manzese darajani kupiga picha akiwa kwenye daraja..

This is true of Haji in the USA, akifika DC ataenda kupiga picha karibu na White House🤣🤣🤣
Je mtu akitoka Bunda vijijini akija Dar mara yake ya kwanza inakuwa vipi hapo ?
 
Wakati unamponda manara ukute hata msumbiji ujafika.......na wala kumiliki passport tu ujawai zaidi ya kumiliki gono na yutiyai basi
 
Maisha ni mafupi kama mtu kwake ni raha kupiga picha kwenye mazingira mapya aachwe tu afanye hivyo.

Wazungu pia wakija Africa huwa wanapiga picha karibu matukio mengi wao wanatembea na camera za gharama kabisa
 
Weka picha ,uzi kama huu bila picha ya kusindikizia haikubaliki Moderator (s)mpo wapi kutoa ban kwa mleta mada ?
 
Mkoani ni wapi na Dar ni wapi? Huo huwa ni ubaguzi wa kikabila coz haimanishi anaeish Dar ni bora zaid kulko wengne,kuna watu Dar hushinda njaa na kusindkiza wenzaoo[emoji16]

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
 
Tafuta pesa brother punguza wivu.

Hata hao wanaotoka vijijini uliowaponda wakianza kutembelea ma range rover nahisi watu kama wewe mnaanza kujadiliana "huyo mshamba tu, gari wengine tumeanza kuendesha zamani" hapo mda huo huna hata gari,
Huwa wanalidogolisha, wanasema anaendesha 'kigari' au wanasema 'gari la mkopo', nafikiri inawafanya wajisikie vizuri baada ya kutamka hayo.
 
Posta ni ya pili


Ya kwanza ilikuwa Flyover ya Kijazi.
Kule kwetu Tukuyu tunaona milima tu.
Nakuja Dar nikakuta barabara ya hewani bwana.


Kwa heshima ya Mhe Balozi Dr John Kijazi ya kutupa vyeti vyetu kwa wakati mara baada tu ya mahafali kuisha,nilienda kumuenzi kwa kupiga selfie ya kwanza Daslama kama ishara ya heshima.

Alinitunuku shahada yangu pale chuo chetu cha kata 2020 kabla hajakata kamba.
 
Posta ni ya pili


Ya kwanza ilikuwa Flyover ya Kijazi.
Kule kwetu Tukuyu tunaona milima tu.
Nakuja Dar nikakuta barabara ya hewani bwana.


Kwa heshima ya Mhe Balozi Dr John Kijazi ya kutupa vyeti vyetu kwa wakati mara baada tu ya mahafali kuisha,nilienda kumuenzi kwa kupiga selfie ya kwanza Daslama kama ishara ya heshima.

Alinitunuku shahada yangu pale chuo chetu cha kata 2020 kabla hajakata kamba.

Anne sura zetu watu wa mikoani tutaziweka wapi 😁😁😁, ukija na Mwanza, usisahau kupiga picha na sanamu la samaki pamoja na bismark rocks
 
Ur a poor judge of character. Wivu upo wapi hapo kwenye Uzi wangu?

Hufai kuwa intelligence officer cause huwezi kusoma rhythm ya maandishi ya mtu
Intelijensi ofisa wa mavi 😂😂😂 kwahyo ukaona hiyo ndio kazi ya akili mingi. Acha wivu urudi kwenye jinsia yako halisi
 
Piga picha popote, hata kwenye nyumba za nyasi, sisi wanyausi tupo kwa ajili ya kuperuzi na kudadisi.....[emoji41][emoji41][emoji41]

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom