Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia kitaa au airport wasikuchote unyayo. Wanaochotwa unyayo huwa wakifika lazima waone giza giza tu, yaani wanajiona wapweke, vyakula vibaya, watu wapo busy kama maroboti. Mwisho huamua kurudi😃, kumbe wamechotwa unyayo😃Siku nakanyaga marekani nitafungua uzi humu nitume picha bila kuziba sura....hapana chezea USA muacheni ajimwayemwaye mzaramo wa watu
Weee nikiondoka wanafki siwaagiAngalia kitaa au airport wasikuchote unyayo. Wanaochotwa unyayo huwa ni lazima wakifika lazima waone giza giza tu, yaani wanajiona wapweke, vyakula vibaya, watu wapo busy kama maroboti. Mwisho huamua kurudi😃, kumbe wamechotwa unyayo😃
Naamini hauwezi fanya ujinga kama huoSiku nakanyaga marekani nitafungua uzi humu nitume picha bila kuziba sura....hapana chezea USA muacheni ajimwayemwaye mzaramo wa watu
Hebu nipe hiyo ofa uoneNaamini hauwezi fanya ujinga kama huo
Sunday Manara alicheza mpira uholanzi na USAKama niliwahi kusoma sehemu, zamani kidogo, kuwa baba'ke Haji Manara ni katika wachezaji mpira wa mwanzo wa Tanzania waliowahi kucheza mpira Ulaya na baadae USA na halafu UAE.
Haji alikuwa anaishi na wazazi wake.
Labda hajaenda toka utotoni kama aliishi huko na wazazi wake.
Huko Mwanza hadi nimalizane na Daslama kwanzaAnne sura zetu watu wa mikoani tutaziweka wapi 😁😁😁, ukija na Mwanza, usisahau kupiga picha na sanamu la samaki pamoja na bismark rocks
Nimecheka mno😆😆😆kopea nyumba mzunguke hubby😆🙌Ntakopa kausha damu halafu naenda mbele, nakua mimi ndio nimewakausha
Sema ukwel mzee: baada ya kupiga picha ulinunua mkate mkuuubwa na soda. Ukibisha nashusha picha ukiwa na hilo limkateNilipofika Dar
Cha kwanza ilikuwa kwenda kupiga picha kwnwye sanamu la Posta
Sanamu miaka nenda miaka rudi naliona kwenye TV
Nikaona nikalishuhudie live .
Home Sweet HomeSiku nikikanyaga marekani mimi, bongo sirudi
😁😁😁😁 AnneHuko Mwanza hadi nimalizane na Daslama kwanza
Tanzania ipo Dar.
Bado sijapiga picha Mfugale Flyover.
City mall kwenye zile ngazi zinatembea😂Almanusura ning'oe meno.
Alikua Sweden vijijini huko,Bangi tu yule zilimponza wakatemana nae.Moshi Boban alikimbia Norway akarudi zake bongo kwa kukosa vijiwe vya bangi
Usinifanyie hivo mama bado sijakamata hela tufikie malengo yetu .utakuja fanya nimloge kijana wa watu Kanye westSiku nikikanyaga marekani mimi, bongo sirudi
Jambo dogo tu hilo kama unatamani kweli,we nipe mbunye tuu,USA hii hapa fastaaSiku nikikanyaga marekani mimi, bongo sirudi
Sa si twende nikakupee huko marekaniJambo dogo tu hilo kama unatamani kweli,we nipe mbunye tuu,USA hii hapa fastaa