Haji Manara ndiyo kaenda Marekani kwa mara ya kwanza nini?

Haji Manara ndiyo kaenda Marekani kwa mara ya kwanza nini?

Halafu Kasema lazima afike anakoishi Mange Kimambi kwenye store yake eti [emoji3][emoji28]
 
Unajua tofauti kati ya kuishi na kufika? Hapa tunazungumzia kufika? Uzi unazungumzia Manara kufika Marekani. Na ndio sisi wakulungwa tukazungumzia watu walioishia Kimara na kutamba kwamba wanaijua Dar

Kama hujaelewa zaidi mtafute LIKUD akufafanulie vizuri... Mimi nimefikia kikomo cha kufundisha watu wagumu kuelewa
Shobo zako tu hakuna sehemu nimeomba unifundishe. Kwanza waalimu ni mazezeta unajipa umuhimu kwenye comment ya mtu balance shobo
 
Shobo zako tu hakuna sehemu nimeomba unifundishe. Kwanza waalimu ni mazezeta unajipa umuhimu kwenye comment ya mtu balance shobo
Unaona sasa.... Ulivyo na akili ngumu? Aliyekudanganya anayefundisha ni lazima awe mwalimu kitaaluma ni nani? Na kama mwalimu wako ni zezeta unahisi wewe utakuwa taahira wa kiwango kipi?

Uwe na adabu kijana, unaweza kukuta mama yako alikuwa bebi wangu enzi hizo...
 
Unaona sasa.... Ulivyo na akili ngumu? Aliyekudanganya anayefundisha ni lazima awe mwalimu kitaaluma ni nani? Na kama mwalimu wako ni zezeta unahisi wewe utakuwa taahira wa kiwango kipi?

Uwe na adabu kijana, unaweza kukuta mama yako alikuwa bebi wangu enzi hizo...
Hahaha utahira ndio huo kuleta wazazi kwenye mambo haya ila sikatai kwakua namnyandua mama yako mzazi mpaka anakojoa hunipi tabu ntakuchukulia kama kijana wangu. Usinipe maneno makali nikaacha kumkojoza mama yako
 
Yani watanirudiasha parcel tofauti na hapo sirudi....
kuna mdada anaenda German nitamuomba mwaliko kutest, akikubali tu bora nikaokote makopo huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nitakusindikizaaa Eve.
 
Siku nakanyaga marekani nitafungua uzi humu nitume picha bila kuziba sura....hapana chezea USA muacheni ajimwayemwaye mzaramo wa watu
[emoji631] ni sehemu ambayo kila binadamu ana ndoto ya kufika.
 
Back
Top Bottom