Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Kabisa nakuja na chet fake cha ndoa na watoto fake 😂Uje kuzamia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa nakuja na chet fake cha ndoa na watoto fake 😂Uje kuzamia
Haji ni "typical" mtoto wa Kariakoo, ana kichwa kizuri sana, sema uhuni uhuni wa Jangwani aliokulia nao ndiyo unamsubuwa. "Otherwise" Haji ni akili kubwa.Manara Ni mmbea mbea tu
Hebu Sema bff me nikienda lazima kila mtu ajue siendi kimya kimya
Dah, leo ndiyo nime "confirm", kumbe Kiranga ni walewale, nilikuwa natilia shaka siku nyingi na nilishawahi kumwambia kwa ID yake nyingine. Lakini hii ya leo ni "super confirmation".
[emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Route ya pili ni kupiga picha Coco beach nikiwa nimezamisha miguu majini
[emoji1][emoji28][emoji38][emoji38]mnaangalia TBC na star tv ...Ukiona upo nje ya Dar wewe ni wa mkoani[emoji16]
Mkono hoja. Haji yupo smart. Binafsi namkubali sanaHaji ni "typical" mtoto wa Kariakoo, ana kichwa kizuri sana, sema uhuni uhuni wa Jangwani aliokulia nao ndiyo unamsubuwa. "Otherwise" Haji ni akili kubwa.
Haji akijipiga polish sehemu ndogo sana ya maisha yake, atakuwa ni mtu wa Kimataifa.
Naachaje nitawapelekea hadi nyumbani picha zangu za USANa unaanzaje kwa mfano?? Me watajuta nawaekea status WhatsApp wasipo view nawatumia uko uko inbox yani mpk taarifa wazipate!!! Visa yake tu kuipata sio mchezo [emoji23][emoji23][emoji23]
Bff vipi ile issue yetu unaendelea??
Dah, leo ndiyo nime "confirm", kumbe Kiranga ni walewale, nilikuwa natilia shaka siku nyingi na nilishawahi kumwambia kwa ID yake nyingine. Lakini hii ya leo ni "super confirmation".
Chukulieni kuwa mmeuvaa mkenge.
Naachaje nitawapelekea hadi nyumbani picha zangu za USA
Naendelea fresh kabisa BF malizana na wale na wewe uanze
Hahahaha au basi 😂😂😂😂Wakina nani? [emoji23][emoji23][emoji23]
Unajua tofauti kati ya kuishi na kufika? Hapa tunazungumzia kufika? Uzi unazungumzia Manara kufika Marekani. Na ndio sisi wakulungwa tukazungumzia watu walioishia Kimara na kutamba kwamba wanaijua DarDar is nothing kama huna jambo la maana unaganga njaa unajiona upi town ni ujinga unamaisha ya kuunga unga unajiona upo mjini ni uzwazwa. Ulishawahi pita maeneo wanayokaa watu wenye vyao hasa usiku hata harufu ya dawa za mmbu ni tofauti na uswahilini. Ukipita mtaani madirisha mawili sumu ya mmbu dirisha linalofuata udi jingine wanachoma ubani mashtaka mambo ni tafrani na wanajihesabu wapo mjini. Maana ya kuwa mjini ujipate ukiishi kama panya unajitesa tu. Yupo alieishia kibaha ila analife zuri kuliko aliepo kinondoni. Wengi wetu mji unatula hatuli maisha mjini
Watu wa mikoani wana hasira sana 😂Unajua tofauti kati ya kuishi na kufika? Hapa tunazungumzia kufika? Uzi unazungumzia Manara kufika Marekani. Na ndio sisi wakulungwa tukazungumzia watu walioishia Kimara na kutamba kwamba wanaijua Dar
Kama hujaelewa zaidi mtafute LIKUD akufafanulie vizuri... Mimi nimefikia kikomo cha kufundisha watu wagumu kuelewa
Hahahaha au basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ama ni mimi ndie sijui grammar jamani!!?
This is true of Haji in the USA,akifika DC ataenda kupiga picha karibu na White House🤣🤣🤣
😜 😜 😜 😜 kujaaNakufata chobingo uniambie bff [emoji23][emoji23][emoji23]
Weee utarudi tuu, kule hawakuwezi! utatumiss utufuate [emoji23][emoji23][emoji23]Yani watanirudiasha parcel tofauti na hapo sirudi....
kuna mdada anaenda German nitamuomba mwaliko kutest, akikubali tu bora nikaokote makopo huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ujue wewe ni hazina kwa taifaNtakopa kausha damu halafu naenda mbele, nakua mimi ndio nimewakausha