Haji Manara ndiyo kaenda Marekani kwa mara ya kwanza nini?

Haji Manara ndiyo kaenda Marekani kwa mara ya kwanza nini?

Hivi mnafanya mchezo na maandishi matatu?? USA iheshimiwe na watu wote
Hivi cocastic shem Kiranga ticket anatutumia lini? Me nishachoka kusubiri
Uduguuu hajatuma bado,

Wee shem Kiranga fanya ututumie hizo tickets, mie nikishafika Washington, nazamia Atlanta nkaopoee black American wangu mmoko tusongeshe life,

Yaan wee fanya mpango nitue hapo kwa Biden, mengine yatajisett yenyewee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haji ni "typical" mtoto wa Kariakoo, ana kichwa kizuri sana, sema uhuni uhuni wa Jangwani aliokulia nao ndiyo unamsubuwa. "Otherwise" Haji ni akili kubwa.

Haji akijipiga polish sehemu ndogo sana ya maisha yake, atakuwa ni mtu wa Kimataifa.
Huyu huyu Manara? Au haji yupiii?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah, leo ndiyo nime "confirm", kumbe Kiranga ni walewale, nilikuwa natilia shaka siku nyingi na nilishawahi kumwambia kwa ID yake nyingine. Lakini hii ya leo ni "super confirmation".

Chukulieni kuwa mmeuvaa mkenge.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwambaaaa? Wee bibi khaaah
 
Uduguuu hajatuma bado,

Wee shem Kiranga fanya ututumie hizo tickets, mie nikishafika Washington, nazamia Atlanta nkaopoee black American wangu mmoko tusongeshe life,

Yaan wee fanya mpango nitue hapo kwa Biden, mengine yatajisett yenyewee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Haeleweki sijui ndo km alivyosema sisy Joannah [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahaha utahira ndio huo kuleta wazazi kwenye mambo haya ila sikatai kwakua namnyandua mama yako mzazi mpaka anakojoa hunipi tabu ntakuchukulia kama kijana wangu. Usinipe maneno makali nikaacha kumkojoza mama yako
Sikujua kumbe nabishana na marehemu. Endelea kupumzika kwa amani popote ulipo ahera...

Usihangaike kunijibu utapoteza muda wako bure.... nimeshakuweka kwenye ignore list.... Sitaiona post yako asilani...
 
Ngoja tusindikize uzi na kavideo
Kweli jamaa yuko juu

Ova
 
By the way maisha ni vile mtu ameamua kuishi kuna mtu hata akipiga picha na rais au ameenda mwezini hutokaa uone amepost ila kuna mwingine hata akipiga picha na mwenyekiti wa mtaa mtajua alikuwa wapi na kulikuwa na tukio gani kila account yake ya social ataweka bandiko sikwambii akipiga picha na rais sasa. Ataitengenezea picha frem aweke ukutani
 
Siku hizi kuna ka mtindo kamezuka mitandaoni uki komenti kitu critical kuhusu celebrity wanaibuka washamba kama wewe wanakuita " hater".
Style up mtoto mdogo
Hawajui huyo mzungu huwa anamashauzi sana.
 
Uduguuu hajatuma bado,

Wee shem Kiranga fanya ututumie hizo tickets, mie nikishafika Washington, nazamia Atlanta nkaopoee black American wangu mmoko tusongeshe life,

Yaan wee fanya mpango nitue hapo kwa Biden, mengine yatajisett yenyewee.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani wee shem mpango nifanye mie majamboz aende kula m Black America mmoja wa Atlanta?

Khaaaa.

Mtoto hata haya hunaa?
 
Back
Top Bottom