Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Weeee home ntarudishwa kuzikwašHome Sweet Home
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weeee home ntarudishwa kuzikwašHome Sweet Home
Tupeane hapaa hapa..Sa si twende nikakupee huko marekani
Utarudije kwenye laana?Mimi pia...bora kufia huko huko...hata mizimu ikasirike vipi sirudi ng'o[emoji38]
Kuna watu wengi wanakuja Dar na kuishia Kimara.... Afu wanatamba mi nshafika Dar....Mbona mimi nilipokuja dar es salaam sikufika koko wala daraja la manzese na mpka now nipo town sijawahi fika coco. Ukipunguza kawivu utakua tofauti na jinsia ya kike
Baada ya hapo ukaenda Kariakoo au Coco beach?Nilipofika Dar
Cha kwanza ilikuwa kwenda kupiga picha kwnwye sanamu la Posta
Sanamu miaka nenda miaka rudi naliona kwenye TV
Nikaona nikalishuhudie live .
Huu sasa ni uhainiTupeane hapaa hapa..
Dar is nothing kama huna jambo la maana unaganga njaa unajiona upi town ni ujinga unamaisha ya kuunga unga unajiona upo mjini ni uzwazwa. Ulishawahi pita maeneo wanayokaa watu wenye vyao hasa usiku hata harufu ya dawa za mmbu ni tofauti na uswahilini. Ukipita mtaani madirisha mawili sumu ya mmbu dirisha linalofuata udi jingine wanachoma ubani mashtaka mambo ni tafrani na wanajihesabu wapo mjini. Maana ya kuwa mjini ujipate ukiishi kama panya unajitesa tu. Yupo alieishia kibaha ila analife zuri kuliko aliepo kinondoni. Wengi wetu mji unatula hatuli maisha mjiniKuna watu wengi wanakuja Dar na kuishia Kimara.... Afu wanatamba mi nshafika Dar....
Chai
Wanasema mtu akitoka kijijini akaja mjini kwa mara ya kwanza basi kitu cha kwanza lazima aagize soda na mkate.
Na mtu kutoka mkoani akifika Dar kwa mara ya kwanza lazima aende Coco Beach halafu apite Manzese darajani kupiga picha akiwa kwenye daraja..
This is true of Haji in the USA, akifika DC ataenda kupiga picha karibu na White Houseš¤£š¤£š¤£
Nilichojifunza mjini kuna vijiji vilivyochangamka vinaitwa UswahiliniDar is nothing kama huna jambo la maana unaganga njaa unajiona upi town ni ujinga unamaisha ya kuunga unga unajiona upo mjini ni uzwazwa. Ulishawahi pita maeneo wanayokaa watu wenye vyao hasa usiku hata harufu ya dawa za mmbu ni tofauti na uswahilini. Ukipita mtaani madirisha mawili sumu ya mmbu dirisha linalofuata udi jingine wanachoma ubani mashtaka mambo ni tafrani na wanajihesabu wapo mjini. Maana ya kuwa mjini ujipate ukiishi kama panya unajitesa tu. Yupo alieishia kibaha ila analife zuri kuliko aliepo kinondoni. Wengi wetu mji unatula hatuli maisha mjini
Hahaha huwezi amini kapigia picha kwenye vile vi korido vya kupndia kwenye ndege yaani mshamba
Wanasema mtu akitoka kijijini akaja mjini kwa mara ya kwanza basi kitu cha kwanza lazima aagize soda na mkate.
Na mtu kutoka mkoani akifika Dar kwa mara ya kwanza lazima aende Coco Beach halafu apite Manzese darajani kupiga picha akiwa kwenye daraja..
This is true of Haji in the USA, akifika DC ataenda kupiga picha karibu na White Houseš¤£š¤£š¤£
Wewe umejua, hizo ni corridor za kutoka waiting area kuelekea kwenye kupanda ndege.Hahaha huwezi amini kapigia picha kwenye vile vi korido vya kupndia kwenye ndege yaani mshamba
Ni ushamba kumbuka kwenye hizo njia kunakuwaga na watu wengi na kila mtu yupo busy sasa yeye inamaana alionekana mshamba sana maana alisubiri watu wote wapite ndiyo apige pichaWewe umejua, hizo ni corridor za kutoka waiting area kuelekea kwenye kupanda ndege.
Hopefully akifika huko Mambele ataleta picha za kutosha
========
Ila sio mbaya nasi kama uchumi umeimarika sio vibaya kuwa na hizo tour walau ku-refresh maana hizi stress za Bongo kwa kweli ni Mungu tu ndiyo anajua
Ndiyo maana Mleta mada ame-conclude ushamba.Ni ushamba kumbuka kwenye hizo njia kunakuwaga na watu wengi na kila mtu yupo busy sasa yeye inamaana alionekana mshamba sana maana alisubiri watu wote wapite ndiyo apige picha
Mange kimambi style!Weeee home ntarudishwa kuzikwaš
EWaaaaaaPunguza wivu mkuu utaishi maisha marefu,
Wanaume tunapitia mengi sana acha mtu afurahi anapopata chance.
Hakikisha unazaa kabisa na mzungu ili upate rogic reason ya kutorudi ukuYani watanirudiasha parcel tofauti na hapo sirudi....
kuna mdada anaenda German nitamuomba mwaliko kutest, akikubali tu bora nikaokote makopo huko š¤£š¤£š¤£
šš ukienda nakuja kukuchukua ukichelewa kurudi mkuuSiku nakanyaga marekani nitafungua uzi humu nitume picha bila kuziba sura....hapana chezea USA muacheni ajimwayemwaye mzaramo wa watu
Uje kuzamiašš ukienda nakuja kukuchukua ukichelewa kurudi mkuu