khamis kilo
JF-Expert Member
- May 23, 2016
- 1,137
- 1,380
Manara alikuwa yupo sahihi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi, rule of lawHawa machawa wa viongozi na Lumumba + pale makumbusho kwasababu ya kutumika kwao kukisaidia chama chetu basi nao hujiona wanahati mmiliki ya kufanya lolote lile.
Tuweke mipaka na kuchora mstari kwenye suala zima la discipline kwa jamii bila kujali cheo au dhamana uliyonayo.
Atakua mwekundu kwa kipondoHana adabu,kwa sababu anajuana na viongozi ndy anajiona yuko juu
Ila ngoja siku aingie kwenye 18 zao atawajuaaa vzr
Ova
Mpaka atoke damu za masikio ndio ajuae kaumia!Huyu ni keng.e
Hana namlaka ya kumrukiaHaji kathibitisha kua Askari magereza ni wwafungwa Kamwambie kakoromee wafungwa wenzio
Huyo askari ni mpole sana mimi nilikua naruka nae palepale
KhaaaaaaHilo Sope linajivunia ulemavu wake, ndo maana haliogopi mamlaka.
Mxxxxiiiiieeeew zake.
Unasonya vizuri mashallah kama vile busu 😉Hilo Sope linajivunia ulemavu wake, ndo maana haliogopi mamlaka.
Mxxxxiiiiieeeew zake.
Nani asiyejua haji anatumia hali yake kama shield, wallah haji ajitathmini sana, wengine tungekua mbali sana kujibu tuhuma nzito, sio kwa kauli hiyo, mpumbavu sana hajiHuo ni UNYANYAPAA LIVE kwa sababu alichosema au kufanya Manara kinaweza kusemwa au kufanywa hata na mtu asiye na ulemavu kwa sababu issue hapo ni attitude!! Sasa nini kimekufanya uone Manara kafanya hayo kwa sababu ya ulemavu wake na sio attitude yake?!
Muro ni mtu na nusu 😂🫡Unajua Manara ni mtu mmoja wa ajabu sana, nafikiri wanaosema anatumia ulemavu wake kama kinga wako sahihi,
Yeye akidharirisha watu anaona sawa kabisaa ila akirudishiwa mashambulizi mama yangu ,atalia lia kila kona atapita kila sehemu na kilio kikubwa kaonewa ,kanyanyaswa kanyanyapaliwa ,Wote mnakumbuka saga lake na huyo bwana. Hapo alilianzisha baadae akaanza kulia baada ya Muro kufunga kaziView attachment 3183318