Haji Manara ni nani hapa Tanzania hadi kuwadhalilisha Askari Magereza na wafungwa bila kuchukuliwa hatua?

Haji Manara ni nani hapa Tanzania hadi kuwadhalilisha Askari Magereza na wafungwa bila kuchukuliwa hatua?

Hawa machawa wa viongozi na Lumumba + pale makumbusho kwasababu ya kutumika kwao kukisaidia chama chetu basi nao hujiona wanahati mmiliki ya kufanya lolote lile.

Tuweke mipaka na kuchora mstari kwenye suala zima la discipline kwa jamii bila kujali cheo au dhamana uliyonayo.
Sahihi, rule of law
 
Huo ni UNYANYAPAA LIVE kwa sababu alichosema au kufanya Manara kinaweza kusemwa au kufanywa hata na mtu asiye na ulemavu kwa sababu issue hapo ni attitude!! Sasa nini kimekufanya uone Manara kafanya hayo kwa sababu ya ulemavu wake na sio attitude yake?!
Nani asiyejua haji anatumia hali yake kama shield, wallah haji ajitathmini sana, wengine tungekua mbali sana kujibu tuhuma nzito, sio kwa kauli hiyo, mpumbavu sana haji
 
Unajua Manara ni mtu mmoja wa ajabu sana, nafikiri wanaosema anatumia ulemavu wake kama kinga wako sahihi,

Yeye akidharirisha watu anaona sawa kabisaa ila akirudishiwa mashambulizi mama yangu ,atalia lia kila kona atapita kila sehemu na kilio kikubwa kaonewa ,kanyanyaswa kanyanyapaliwa ,Wote mnakumbuka saga lake na huyo bwana. Hapo alilianzisha baadae akaanza kulia baada ya Muro kufunga kaziView attachment 3183318
Muro ni mtu na nusu 😂🫡
 
''Nenda kalindw wafungwa wenzio''..alisikika Haji Manara akimjebehi askari magereza akiyemuomba awapishe njia wapite,wakati akiongea nawaandishi wa habari baada ya mchezo wa Yanga dhidi ya Tanzania prison kumakizika

Sasa uongozi wa Yanga umedai haukumtuma Haji awatukane maafande hao na kusikitishwana matusi ya Haji.
Uingozi umeomba radhi jwa akari akiyetukanwanajeshi lamagerezakwa ujumla,ila askari wakisikija wakisema hawajamalizana nae watamtafuta mtaani wamfundishe adabu
 
Mtu mwenyewe keshajifia huyo hakuna haja ya kuhangaika nae.
 
Back
Top Bottom