Haji Manara ni nani hapa Tanzania hadi kuwadhalilisha Askari Magereza na wafungwa bila kuchukuliwa hatua?

Haji Manara ni nani hapa Tanzania hadi kuwadhalilisha Askari Magereza na wafungwa bila kuchukuliwa hatua?

Haji yuko sawa amri amri wapeleke uko magerezani wameingia cha kike wenyewe mtu anahojiwa tenana vyombo vya habari ilikuwa ni simple tu haji eheee mmeshinda tunaomba njia sasa wanaleta stress zao wakang,'oe viti kama wenzao hii burudani ukiona uiwezi achana nayo
 
Huyu haji manara mdomo wake ni mchafu anajikuta ana mamlaka ya kumtusi na kumdhalilisha yeyote kama kesi ilikuwa na magereza wafungwa wamefuata nini anasahau naye kesho anaweza kuwa mfungwa.

Na hao kituo cha sheria za haki za binadamu hatusikii wakikemea kitu wafungwa wapo kutumikia makosa yao sasa kama haji kakoromewa na magereza ya nini awadhalilishe na wafungwa

Mtu huyu hastahili huruma kwa ule ulemavu wake achukuliwe hatua tu!

Haji Manara ni nani katika nchi hii!?

View attachment 3183108
NI MUISLAMU NUSU MZANZIBAR TULIA KAMA ULIVYO ASIJE KUKURIPOTI KWA ABDUL...
MANARA ANA CHEO CHA GENERAL CHAWA
 
Tanzania is now a country of impunity!
 
ww
Huyu hana akili

Si alifungiwaga kujihusisha na soka kwa mambo kama haya
ndo mpuuz , watu wanatekwa hilo jeshi lako limefanya nn ? kaona kuna waandishi wa habari kwann asiombe kwa ustaarabu mpk atake kumdharirisha Haji ? ukizingatia huyo askari hapo sio sehem ya utumishi wake
 
Kwa 90% Haji Manara yuko sahihi kabisa. Inaonekana anajua sheria na akaamua kusimama katika sheria.
Askari Magereza hana mamlaka yoyote ya kumkata au kumuamuru raia, mamlaka yake yapo gerezani kwa wafungwa na mahabusu.

Tz tunahitaji wakina Haji Manara wengine kama 100 hivi.
watanzania wengi ni wajinga nadhan kwa afrika tunaeza shika nafas ya kwanza kwa ujingq , wengi humu wanamkosoa Manara bila hata kujua mamlaka ya askari magereza inaishia wapi pili hata angekuwa askari wa kawaida hakupaswa kuwa mkali vile maana Haji alisema napisha usijali ila askari akataka kuonesha ubabe ndipo Haji akamlipukia
 
Kumbe na wewe ni kizibo tu, hujui mengi kuhusu mamlaka ya askari magereza
ww ni kundi la wale wajinga kaangalie video kwa utulivu bila mawenge ya ushabiki , yule askar anapswa kuadhibiwa , hv ingekuwa ni press ya kada wa ccmu angefanya vile ? yule askari aliambiwa napisha ila bado akatumia lugha ya kudharirisha ndipp Haji akamuoneshea kuwa anaijua Sheria kuliko ww mbumbumbu wa ccmu ambae hata ushikwe tako unabakia unachekelea tu kama mwehu
 
Huwa sipendi kujibizana na teenager, kipi alichokisema hapo huyo askari zaidi ya kumwambia atoe gari yake njiani.
ww ni mataklo , Haji alimjibu vzr sn kuwa tunapisha , ila askari akafanya kama anamuamlisha kwa lzm afanye upesi kupisha , hv huu ni ustaraab gan huyo Askari alionesha , mtu anahojiwa live ww unaenda vuruga ? hv angekuwa kada wa ccmu huyo askari angesogea hapo ? unatetea us3ng kyuma ww
 
ww

ndo mpuuz , watu wanatekwa hilo jeshi lako limefanya nn ? kaona kuna waandishi wa habari kwann asiombe kwa ustaarabu mpk atake kumdharirisha Haji ? ukizingatia huyo askari hapo sio sehem ya utumishi wake
Wee nae wale wale, hamnazo
Keyboard warrior

Lia machozi kabisa mkuu
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Kuna vitu vinatia shaka kuhusu uelewa wetu.Tukiendelea hivi,kuna watu watabisha kwamba hawana mamlaka kisheria kukamata wahalifu.Watatuambia watawasubiri police.
angekuw ni kada ya ccmu angeenda kufanya vile ? yule askari kaleta hisia za michezo , haya ni madhara ya kuajiri walioferi form 4 , hajui kutumia lugha za staa , kaambiwa tunapisha ila bado akaendelea kupiga kelele , huyo askari mm ningempiga kabisa **** huyo
 
Wee nae wale wale, hamnazo
Keyboard warrior

Lia machozi kabisa mkuu
mtu kaambiwa tunapisha ila hapa mnamtetea eti kaonewa , ushoga ndo unaanza hv hv , unaanza na uchawa kisha wanaanza kukupakua kalio
 
Huyo Utopolo abanwe makende kwanza hata siku 2 then aachiwe! , watu wakimjalia huwa anatafuta masifa ya kipuuzi sana......" Wenye akili kule wawili tu".
we ni mataklo , huyo polis basher wako aliambiwa TUNAPISHA ila bado akaendelea kutoa shombo , mjifunze kubalance ushabiki , ushabiki unawafanya mnakuwa wehu , mnatetea kila kitu siku hz provided ni against or alongside your team

HUYO ASKARI NINGEMTIA HATA MAKOFI , ANAFANYA HIVYO KISA ANAJUWA NI MANARA ILA ANGEFANYA HIVYO KAMA INGEKUWA NI PRESS YA KADA WA CCMU ?

WATANZANIA JIFUNZEN KUBALANCE USHABIK , MTU KUWA YANGA AU SIMBA ASIFANYWE ADUI KUWA HATA HAKI YAKE ASIPATE KISA TIMU ALIYOPO
 
Inferiority complex inamsumbua !
Anadhani anadharauliwa kumbe ni hisia zake tu !
huyo askari alijibiwa vzr kuwa TUNAPISHA ila akaleta maneno ya shombo , hii kauli ya Manara mnazuga hamkuiona , waafrika mnaroho mbaya sana Mtu kuwa Yanga au Simba isiwe sababu ya kumnyima haki yake
Mtu yupo na waandishi wa habari halafu unataka kumdharirisha ? hv hata Samia angekubali kwel ? hata Huyo Kikwete angekubali kwel ?

tuache tofauti za timu haya mambo mnayatetea mkumbuke hawa polisi tunaish nao humu humu na mnawabriki kufanya ubabe hata nje ya uwajibikaj wao
 
Huyu haji manara mdomo wake ni mchafu anajikuta ana mamlaka ya kumtusi na kumdhalilisha yeyote kama kesi ilikuwa na magereza wafungwa wamefuata nini anasahau naye kesho anaweza kuwa mfungwa.

Na hao kituo cha sheria za haki za binadamu hatusikii wakikemea kitu wafungwa wapo kutumikia makosa yao sasa kama haji kakoromewa na magereza ya nini awadhalilishe na wafungwa

Mtu huyu hastahili huruma kwa ule ulemavu wake achukuliwe hatua tu!

Haji Manara ni nani katika nchi hii!?

View attachment 3183108
Siku ajichanganye apelekwe magereza ata siku mbili.. akitoka atasalimia hadi watoto wa shule ya msingi
 
Back
Top Bottom