Yudatade Edesi Shayo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 2,903
- 4,334
Mmmmh utakuwa wa mjini kitambo hadi hotel watu wanaijua anayo fikiaga video zipoHahahaha nilimsikiliza Haji alivyosema kwamba aliheshimu mamlaka ya uteuzi hivyo akashindwa kutoa hiyo siri hapo awali ila alimwambia ukirudia tena nitatoa siri yako hii.
Tetesi jamaa ni GASHO analiwa KIBOGA au ana michezo ya KIGASHO kama alivyosema DADA LAO LA USA.
Wewe unaafiki tu yanojiri ya maccm kupakuliana mavy?Ngoja tusubiri tuone yatayojiri.
Hata wiki hujamaliza mjengoni umeanza matusi? Nikuambie kitu........utafungiwa akaunti yakoWewe unaafiki tu yanojiri ya maccm kupakuliana mavy?
Dogo unamtisha nani Nyau?Hata wiki hujamaliza mjengoni umeanza matusi? Nikuambie kitu........utafungiwa akaunti yako
Mtu mzma unakaa unamsikiliza Mange kimavi?Hizo gay rumours za hao wawili ni siri?
Huyo wa Chura si Mange alizimwaga?
Sidhani kama kuna Siri ya kuisimamisha Tanzania..
Hii stori ya mbumbumbu kuwa na mchezaji anayechokonolewa niliwahi isikia kitambo! Miaka ileeee ........... Ndio mana mawazo yao yapo huko hukoKweli kabisa. Halafu kuna miaka fulani kuna makocha fulani wengine ni marehemu walisadikika kuwachokonoa wachezaji wa mbumbumbu fc
Akikusikia huna bahati.Kwahiyo jamaa ni Jenny Muro badala ya Jerry Muro?
πππππππππAkikusikia huna bahati.
Unakaa ndani masaa 48
Kichwa cha Manara sijui kina nini yeye anapenda sana kuishambulia Yanga nadhani ana allege nayo yeye akijibiwa tu anakuwa mbogo sijui CV yake ikoje ameona Jerry ameenda Arumeru anaanza kutamba Hivi Mo inakuwaje unakuwa mtu mwenye kukosa adabu halafu aangalie sana anapochanganya UDC na Muro ni mamlaka tofauti usije ukaulizwa kama wakati ule ulijifanya msemaji wa familia ya MO kwani kuzaliwa Kariakoo kuna tofauti gani na kuzaliwa Katavi
na ile ya Utopolo FC kuwa na Kocha anachokonolewa tumeisikia kipindi fulani..........hapa karibuni .......Hii stori ya mbumbumbu kuwa na mchezaji anayechokonolewa niliwahi isikia kitambo! Miaka ileeee ........... Ndio mana mawazo yao yapo huko huko
Sent using Jamii Forums mobile app
La kwa Yusuph manji ni Dogo ingawa kuna Aibu moja ilimtokea pindi Yusuph manji katoka jela akajidai kwenda kumpa pole akamtoa nduki kwa matusi na maneno makali ndipo Jerry muro akaenda kumshitakia kwa Daud Bashite wakaandaa njia zingine za kumrejesha Jela tena aliposikia akatoroka na kupandia Ndege Malawi akakimbilia marekani, yapo mengi lakini Haji manara hujivunia zaidi la Tukio la Tundu lisu kule Dodoma,Kwa taarifa yako tu sasa unaambiwa tokea Haji Manara alipomuonya DC wako Jerry Muro juu ya hiyo Siri kubwa mno na mbaya sana Jamaa ( Jerry Muro ) amekuwa Mpole ghafla hana Raha tena na Kinachomuuma zaidi ni nani amempa hiyo Siri Haji Manara kwani Yeye hakuwaza kama iko Siku Haji Manara atakuja Kuijua. Na uone kuwa Haji Manara anajiamini unaambiwa Siku aliyomuonya DC Jerry Muro alimtumia kabisa na Meseji na ' Kumuanikia ' hadharani kabisa hiyo Siri na akaishiwa Nguvu kabisa. Kifupi DC Jerry Muro ameshikwa pabaya na awe tu Mpole na aache Kumfuatafuata Mtoto wa Mjini Kariakoo Haji Manara kwani ataumia!
Alikuwa akifanya nini?si useme basi?Tuliowahi kuishi ubungo na mh DC tunacheka hihihii