Haji Manara: Nimeshamuonya DC wa Arumeru Jerry Muro akiendelea Kunishambulia natoa Siri yake Kubwa mno na Mbaya sana

Bwaga Mchele huo Manara...Pasaka hii... 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
COVID 19..imefanya Connections zote zipotee.Hakuna raha tena
 

Marekebisho kidogo hakukimbilia kupanda Ndege Malawi bali alikimbilia Tanga kisha akazamia zake Mombasa na Kupanda zake Ndege kwenda Kupumzika kwa Dada yake nchini Canada na ndiko aliko. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Kuna mtu hapa eti ananiuliza atapataje namba ya muro
 
Umeleta kishabiki sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa shoga haiwezi kuisimamisha Tanzania huyu mpumbafu Manara aachage upumbafu, eti siri stupidity idiot
Kwanza ni jambo zito sana kumzulia mwanaume mwenzako ushoga. Huyu albino ni mpumbavu sana. Kusema aseme yeye wakisema wengine nongwa. Muro madudu yake kuhusu Manji yanafahamika wazi. Hayo mengine ni ushenzi wa wanaadamu.
 
Ila huyu jamaa siku Simba wakimtema sijui itakuwaje. Au anajivunia matangazo ya maziwa ya Iringa. Wakati mwingine anatangaza mpaka mchungaji Suguye kweli mjini pagumu.
Bila kuwa Simba, hawezi kuwa balozi hata wa wapiga debe. La dawa ya mensw anayoita perfume limebuma jumla.
 
Kwanza ni jambo zito sana kumzulia mwanaume mwenzako ushoga. Huyu albino ni mpumbavu sana. Kusema aseme yeye wakisema wengine nongwa. Muro madudu yake kuhusu Manji yanafahamika wazi. Hayo mengine ni ushenzi wa wanaadamu.
Hebu funguka kidogo hayo madudu ya muro kwa manji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…