pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Ni ipi mkuu, au ni 'mwangilikana'Mbona inafahamika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ipi mkuu, au ni 'mwangilikana'Mbona inafahamika
Vipi anatusuliwa?
La kwa Yusuph manji ni Dogo ingawa kuna Aibu moja ilimtokea pindi Yusuph manji katoka jela akajidai kwenda kumpa pole akamtoa nduki kwa matusi na maneno makali ndipo Jerry muro akaenda kumshitakia kwa Daud Bashite wakaandaa njia zingine za kumrejesha Jela tena aliposikia akatoroka na kupandia Ndege Malawi akakimbilia marekani, yapo mengi lakini Haji manara hujivunia zaidi la Tukio la Tundu lisu kule Dodoma,
Kuna mtu hapa eti ananiuliza atapataje namba ya muro
Marahaba mamaa
Umeleta kishabiki sanaKatika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa leo Jumatano tarehe 8 Mwezi April 2020 alipokuwa akizungumza katika Kipindi bora cha Michezo cha Mchana chaa Kipenga Extra kinachorushwa na Redio bora kabisa ya Kiswahili Afrika Mashariki ya East Africa Radio Msemaji wa Klabu Kubwa, bora na iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu kwa Kuchukua Mataji na kuweka Rekodi nzuri Barani Afrika ya Simba Sports Club Haji Sunday Manara ameamua Kumtolea Uvivu aliyekuwa Msemaji wa Klabu yenye ' Nuksi ' duniani ya Yanga SC sasa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mheshimiwa Jerry Muro.
Swali la Mtangazaji Goza Chuma kwenda Kwake Haji Manara.....
" Una maoni gani juu ya hawa Wasemaji wenzako hasa wa Wapinzani wako wakubwa Yanga SC? "
Jibu lililochafua hali ya hewa la Haji Manara kwa Mtangazaji Goza Chuma.....
" Ni Wasemaji wazuri na bahati nzuri wote kuanzia Nugaz, Bumbuli na hata huyu Jimmy Kindoki ni Marafiki zangu na sina Uadui nao ila huwa tunaamua tu Kucharurana ili Kunogesha Mpira wetu ila kuna aliyewahi kuwa Msemaji wao Jerry Muro sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru alivuka mipaka na hivi karibuni kabla ya Mechi yetu nao waliyotufunga alikuwa akizunguka katika Media mbalimbali Kunitukana, Kunishambulia huku akinidhalilisha mno.
Sasa nilichokifanya baada ya Kumsikia nilimuandika Meseji na hata nyie Watangazaji mkiitaa mwambieni awaonyeshe nikimuonya kuwa kama Jerry Muro ataendelea Kunishambulia Binafsi kwa kutoka nje ya mambo yetu ya Mpira wa Simba na Yanga nitaenda Kutoa SIRI yake moja Kubwa ambayo nina uhakika itaisimamisha Tanzania na hata dunia kwa muda na ambayo inaweza hata kufanya ang'olewe ( atumbuliwe ) haraka katika huo Wadhifa wake.
Na kwa Kujiamini Kwangu zaidi Mimi Haji Manara hata hiyo Siri nilimuandikia katika hiyo hiyo Meseji. Na nina uhakika DC Jerry Muro hatonyanyua tena Mdomo wake Kunishambulia kwani amekutana na Mtoto wa Mjini kweli kweli ila niliamua tu Kumstahi. Ole wake anishambulie tena katika Redio na Runinga nitafunguka kila Kitu Kudadadeki "
GENTAMYCINE nimekuwa nikijiuliza ni kwanini siku hizi DC Jerry Muro kapoa na kapotea sana Masikioni mwa Watu na hasa katika Media za Tanzania kumbe jibu ni kwamba sasa hivi anawaza endapo Siku akikosea tu au akijisahau na kwa bahati mbaya akamshambulia tena Adui (Hasimu) wake Haji Manara basi Betrii itachomolewa rasmi na ataanikwa vibaya hadi atatafuta Mapori ya Kujificha.
Shikamoo Haji Sunday Manara a.k.a DE LA BOSS na pole sana DC Jerry Muro umekutana na Mtoto wa Mjini aliyetukuka hasa.
Katika hi vita manara hanachakupoteza. Jerry muro akubali yaishe.
Kuwa shoga haiwezi kuisimamisha Tanzania huyu mpumbafu Manara aachage upumbafu, eti siri stupidity idiot
Ya kwamba.....!!?Mbona inafahamika
Kwanza ni jambo zito sana kumzulia mwanaume mwenzako ushoga. Huyu albino ni mpumbavu sana. Kusema aseme yeye wakisema wengine nongwa. Muro madudu yake kuhusu Manji yanafahamika wazi. Hayo mengine ni ushenzi wa wanaadamu.Kuwa shoga haiwezi kuisimamisha Tanzania huyu mpumbafu Manara aachage upumbafu, eti siri stupidity idiot
Bila kuwa Simba, hawezi kuwa balozi hata wa wapiga debe. La dawa ya mensw anayoita perfume limebuma jumla.Ila huyu jamaa siku Simba wakimtema sijui itakuwaje. Au anajivunia matangazo ya maziwa ya Iringa. Wakati mwingine anatangaza mpaka mchungaji Suguye kweli mjini pagumu.
Hebu funguka kidogo hayo madudu ya muro kwa manji.Kwanza ni jambo zito sana kumzulia mwanaume mwenzako ushoga. Huyu albino ni mpumbavu sana. Kusema aseme yeye wakisema wengine nongwa. Muro madudu yake kuhusu Manji yanafahamika wazi. Hayo mengine ni ushenzi wa wanaadamu.