KUCH KUCH
JF-Expert Member
- Dec 18, 2015
- 1,327
- 966
Kahoji kwa wanahabar jutihih kwa nn miaka 3 sasa Hawajafanya uchaguz vp mbona kwa hilo awasifuati hz kanuni. Je hao waandishi hawavion hvyo. MAZWAZWA HAOKipindi kile Mwakalebela anafungiwa aliwatukana Yanga,klabu inayo endeshwa kiholela haijui kanuni leo ana ongea vyingine na hii idea yake ya swala hili kulipeleka bungeni ni la kipuuzi tu kwa mtu anayejua mpira na kanuni za FiFA hawezi akaongea upuuzi huu.
Leo tena ana watukana Yanga kwa kusimamia kanuni,ila sio mbaya mwacheni atetee ugali wake.