Randy orton
JF-Expert Member
- Apr 29, 2019
- 1,338
- 3,561
kwa mfano waandishi wa habari za michezo wakanza kwa kutoa statement kuwa hawaandiki habari za simba wala kuizungumzia mpaka manara awajibishwe na mwajiri wake (simba).
Au Manara anafikiri hakuna namn ya kumdhibiti
Au Manara anafikiri hakuna namn ya kumdhibiti