Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Hivi nyie viumbe huwa namasoma nakuelewa lakini, sharia au kanuni.Mbona ni rahisi tu kujitetea! Atasema amealikwa tu kama MC wa kutambulisha wachezaji.
Sasa TFF watasema kama huyo Manara haruhusiwi hata kufanya shughuli zake za kumhingizia kipato, kisa kafungiwa.
Shughuli yoyote ya mpira, hapo Yanga anacheza Mdundiko.!?