Hivi nyie viumbe huwa namasoma nakuelewa lakini, sharia au kanuni.Mbona ni rahisi tu kujitetea! Atasema amealikwa tu kama MC wa kutambulisha wachezaji.
Sasa TFF watasema kama huyo Manara haruhusiwi hata kufanya shughuli zake za kumhingizia kipato, kisa kafungiwa.
Akili gani no ujinga tu, unasifia ujinga, Vio gozi wa yanga hasa huyu Eng ni mjinga na anadharau shirikishoTime will tell. Ila Manara amecheza tu akili za hao TFF. Sasa kama haruhusiwi hata kuwa mshereheshaji kwenye matukio mbalimbali, basi wangempeleka Ukonga au segerea.
Hii timu kwa madharau na maujinga yake ipo siku itashushwa daraja. Tupo time will tellKatika Hali isiyo ya kawaida yule msemaji wa utopolo aliyepigwa marufuku kujihusisha na mambo ya mpira ndani na nje ya nchi Kwa muda wa miaka miwili, Leo ameonekana ndani ya uwanja wa mkapa akiwa na lundo la walinzi.. kwenu TFF
Kweli kabisa! Yanga ni wananchi. Hivyo TFF iko pale kwa ajili ya wananchi, ambao ndiyo sisi! Yaani mimi na wewe.TFF hawana maajabu yoyote mbele ya Yanga
Manara ni mkubwa kuliko Simba na tiefuefu
Ni suala tu la kisheria mkurugenzi. Mimi sioni kosa lake kusherehesha hili tamasha. Ni moja ya shughuli zake hizo bila shaka.Akili gani no ujinga tu, unasifia ujinga, Vio gozi wa yanga hasa huyu Eng ni mjinga na anadharau shirikisho
Mnapenda Sheria za mpira ziwe za ki dictator? Hiyo kamati ,siyo chombo Cha mwisho kwa maamzi.Hii ni dharau kwa Shirikisho la Soka Nchini na kuharibu mpira wa miguu Tanzania.
Hivi huko shuleni ulienda kusomea ujinga? 'in FaizaFoxy 's tone,". Mimi ninavyoelewa amefungiwa kujihusisha na shughuli zote za mpira wa miguu/soka. Je, sherehe inayoendelea hapo kwa Mkapa ni ya Kitchen Party"?Mbona ni rahisi tu kujitetea! Atasema amealikwa tu kama MC wa kutambulisha wachezaji.
Sasa TFF watasema kama huyo Manara haruhusiwi hata kufanya shughuli zake za kumhingizia kipato, kisa kafungiwa.
Wachezaji ni sehemu ya "masuala ya mpira" ambayo hatakiwi kujihusisha nayo. Siyo ndani ya Tz tu hata Burundi na nchi nyingine yoyote dunianiMbona ni rahisi tu kujitetea! Atasema amealikwa tu kama MC wa kutambulisha wachezaji.
Sasa TFF watasema kama huyo Manara haruhusiwi hata kufanya shughuli zake za kumhingizia kipato, kisa kafungiwa.
Huyo achana naye anafanya provocation makusudi ila huyo mbwatukaji naamini mwisho wake wa kubwatuka ni kuanzia Jumatatu acha aageHivi nyie viumbe huwa namasoma nakuelewa lakini, sharia au kanuni.
Shughuli yoyote ya mpira, hapo Yanga anacheza Mdundiko.!?
Mkurugenzi kwani hapo anafanya shughuli gani! 😁😁manara ni MC?
Kama unamaanisha wananchi wajinga sawaKweli kabisa! Yanga ni wananchi. Hivyo TFF iko pale kwa ajili ya wananchi, ambao ndiyo sisi! Yaani mimi na wewe.
Kusikia Kwa Kenge Mpaka Atoke Damu Puani Na MasikioniKuna watu huwa hawasikii hadi wabanwe na damu iwatoke masikioni.
Kwa hiyo wewe ni mnyama! Na siyo mwananchi!! Basi sawa.Kama unamaanisha wananchi wajinga sawa