HAKI ya kuchagua, iende sambamba na HAKI ya kumfuta KAZI kiongozi niliyemchagua, nawezaje kumfuta KAZI mbunge wangu?

HAKI ya kuchagua, iende sambamba na HAKI ya kumfuta KAZI kiongozi niliyemchagua, nawezaje kumfuta KAZI mbunge wangu?

Usifanye kosa kumpa pesa azalishe, uwezekano kwamba ataipoteza ni zaidi ya asilimia 90.

Kosa analofanya huyo mdau ni kuwa na matarajio makubwa mno, kwa mindset hiyo badala ya kutrade atajikuta anafanya gambling na mwishowe ataishia kupigwa.

Huyo rafiki atafute issue nyingine ya kufanya. Mm mwenyw trading naifanya kama side hustle tu kwa sabb kuna wakat huwa napata hasara.

Japo kipato cha forex kinaweza kukidhi mahitaji yangu yote lakin sitegemei forex tu kuishi!

Niko na backup plan 🚜
Haya mambo ya kuzalisha pesa mitandaoni, wafanye wasio na mashamba,

Tanzania Bado tuna ardhi kubwa sana ya kulima. Wakulima wadhaminiwe tractors, mbolea Ili tusonge mbele.
 
Kuna mambo mengine unaachana nayo. Ushasikia nchi gani duniani Mbunge anaondolewa Ubunge kisa hachangii Bungeni? Acheni ushamba!
Sio mbunge tu, hata Rais kama zuma anaweza kuondolewa kwenye mfumo wenye nguvu.
 
Sio mbunge tu, hata Rais kama zuma anaweza kuondolewa kwenye mfumo wenye nguvu.
Zuma aliondolewa kwenye Uwenyekiti wa Chama chake cha ANC. Hakuondolewa kwenye Urais. Weka hiyo kichwani. Kama hujaelewa niulize.
 
Kwani fomu ya kugombea Ubunge inasema aongee mara ngapi Bungeni?
Fomu ni karatasi tu,

Wananchi ,wenye Nchi ndio wenye maamuzi ya mwisho, kubadili au kuboresha chochote wakitakacho.

U unge usiwe ajira, ni temporary mission ya miaka 5 pekee, na ukishindwa kuperform sawasawa na mkataba, ufukuzwe haraka.
 
Fomu ni karatasi tu,

Wananchi ,wenye Nchi ndio wenye maamuzi ya mwisho, kubadili au kuboresha chochote wakitakacho.

U unge usiwe ajira, ni temporary mission ya miaka 5 pekee, na ukishindwa kuperform sawasawa na mkataba, ufukuzwe haraka.
Aaghh!
 
Imagine mbunge kila akisimama bungeni anazungumzia wanaume jimboni kwake hawana nguvu kiume. Japo inawezekana ni kweli ila ndio waliyomtuma? Bunge linasaidiaje kuongeza nguvu za kiume kwa wanaume wa jimboni kwake?
 
Katiba yetu hii ya sasa haina check & balance - na ndiyo maana Rais wetu anakopa atakavyo sisi wanachi hatuwezi kumfanya lolote same as wabunge na madiwani.

Na ndiyo maana katiba mpya inahitajika leo, watanganyika amkeni acheni u CCM nchi inaondoka hii mtashtuka yamebaki mabua.
Kweli kabsa mkuu zanzibar tayali inajiongoza na serikali yake kila kitu kwa sasa inajipangia yenyewe
 
Back
Top Bottom