HAKI ya kuchagua, iende sambamba na HAKI ya kumfuta KAZI kiongozi niliyemchagua, nawezaje kumfuta KAZI mbunge wangu?

Haya mambo ya kuzalisha pesa mitandaoni, wafanye wasio na mashamba,

Tanzania Bado tuna ardhi kubwa sana ya kulima. Wakulima wadhaminiwe tractors, mbolea Ili tusonge mbele.
 
Kuna mambo mengine unaachana nayo. Ushasikia nchi gani duniani Mbunge anaondolewa Ubunge kisa hachangii Bungeni? Acheni ushamba!
Mitano yote yupo kimya,

Sasa anawakilisha nini!!
 
Kuna mambo mengine unaachana nayo. Ushasikia nchi gani duniani Mbunge anaondolewa Ubunge kisa hachangii Bungeni? Acheni ushamba!
Sio mbunge tu, hata Rais kama zuma anaweza kuondolewa kwenye mfumo wenye nguvu.
 
Sio mbunge tu, hata Rais kama zuma anaweza kuondolewa kwenye mfumo wenye nguvu.
Zuma aliondolewa kwenye Uwenyekiti wa Chama chake cha ANC. Hakuondolewa kwenye Urais. Weka hiyo kichwani. Kama hujaelewa niulize.
 
Kwani fomu ya kugombea Ubunge inasema aongee mara ngapi Bungeni?
Fomu ni karatasi tu,

Wananchi ,wenye Nchi ndio wenye maamuzi ya mwisho, kubadili au kuboresha chochote wakitakacho.

U unge usiwe ajira, ni temporary mission ya miaka 5 pekee, na ukishindwa kuperform sawasawa na mkataba, ufukuzwe haraka.
 
Fomu ni karatasi tu,

Wananchi ,wenye Nchi ndio wenye maamuzi ya mwisho, kubadili au kuboresha chochote wakitakacho.

U unge usiwe ajira, ni temporary mission ya miaka 5 pekee, na ukishindwa kuperform sawasawa na mkataba, ufukuzwe haraka.
Aaghh!
 
Imagine mbunge kila akisimama bungeni anazungumzia wanaume jimboni kwake hawana nguvu kiume. Japo inawezekana ni kweli ila ndio waliyomtuma? Bunge linasaidiaje kuongeza nguvu za kiume kwa wanaume wa jimboni kwake?
 
Kweli kabsa mkuu zanzibar tayali inajiongoza na serikali yake kila kitu kwa sasa inajipangia yenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…