Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Yes wapalestina kuna namna walidhulumiwa haki zao
Lakini bado najiuliza hivi Hamas waliwaza nini hadi kuamua kufanya waliofanya Oct 7?
Kwasababu walikua wanajua kabisa Israel watakacho wafanya
Na sasa wanaishi kama digidigi
Gaza nzima imesambaratishwa viongozi wote wa juu wameuwawa na wamewapa nafasi Israel kuamua Gaza mpya itakuaje kuwa favor Israel
Lakini bado najiuliza hivi Hamas waliwaza nini hadi kuamua kufanya waliofanya Oct 7?
Kwasababu walikua wanajua kabisa Israel watakacho wafanya
Na sasa wanaishi kama digidigi
Gaza nzima imesambaratishwa viongozi wote wa juu wameuwawa na wamewapa nafasi Israel kuamua Gaza mpya itakuaje kuwa favor Israel