Haki za Binadamu watoe tamko la Kulaani Unyanyasaji wa Yanga kwa kumfunga Simba chuma Tano πŸ˜‚

acha ufala wewe.kwani simba hajawahi kumkojoza yanga 5 bila.tena bora simba walipata kagoli kamoja kuliko yaliyotokea 2012
 
Wanatakiwa waishukuru Yanga kwa kuwaonesha ubovu wao maana wangeenda kutia aibu Kimataifa. Simba ni mbovu kitambo tu. Yanga ndio wameishtua.
 
Dah kweli nyie hamnazo..Sasa Kibu mnamuwekaje hapo..mkandaji wenu... 🀣 🀣 🀣 🐸 🐸 🐸
Mngeweka yenu tuu...
Mtani.. Charles kilian
Tusimuweke Kibu, kwani goli tumejifunga mtani? πŸ˜…πŸ˜…

Tunatunza kumbukumbu sawa
 
Ndio mtani..tena kumbe ndo mkali wa hizo kazi...
Kuna moja niliishia kati ilikua inaitwa Salem ilikua ina uchawi hatari...
Salem kalii sanaa mtani wangu mie napenda sana movie na series nikizikosa natamani kulia kabisa πŸ˜πŸ˜‚πŸ€£
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…