Haki za Binadamu watoe tamko la Kulaani Unyanyasaji wa Yanga kwa kumfunga Simba chuma Tano 😂

Haki za Binadamu watoe tamko la Kulaani Unyanyasaji wa Yanga kwa kumfunga Simba chuma Tano 😂

Salem kalii sanaa mtani wangu mie napenda sana movie na series nikizikosa natamani kulia kabisa 😁😂🤣
Na mm nilikua ni mlevi kabisa sema majukumu ya familia yamenipunguzia muda wa kumuvika....
Unaikumbuka "the legend of the seeker"?
Kina mother confessor
 
Na mm nilikua ni mlevi kabisa sema majukumu ya familia yamenipunguzia muda wa kumuvika....
Unaikumbuka "the legend of the seeker"?
Kina mother confessor
Kabisa zilikuwa kalii sana hizo kitambo sana ziliniteka sana saivi nacheki series paka macho yanauma🤣🤣
 
Ile penalty ya inonga kila nikiiangalia naona kabisa jamaa alifanya makusudi kwasababu yeye ndio alikuwa karibu na mpira kuliko mpinzani wake ajabu alisubiria mpaka acheze faulu.
 
Back
Top Bottom