Haki za kisheria za Ruge Mutahaba wa Clouds ni zipi baada ya kurekodiwa akilia kwenye simu?

Wanawake wakatili sana na lait kama wakijua unampenda na wakakupa maji ya kuoshea nanaliiu ukayanywa kwenye juicy,lazma uvurugwe kama huyo..tumsamehe.shida ni mazoea

He has to face the Fact, huyo ni mke wa mtu n there is no way tena.
 
Sio kweli...unasema RUGE alikuwa anatombesha mbele ya zamaradi..means Zamaradi ni BOXA ya RUGE au kwamba kila anapoenda RUGE na ZAMARADI yupo...? au ni utamaduni gani wa MWANAMKE kushindana KUGEGEDWA na MWANAUME?siku zote ifahamike kuwa mwanaume aliyekutolea posa ni nusu mume tayari....na pia suala la ZAMARADI kuolewa kama lingeanza kuzungumziwa kwenye family wala RUGE asingetoa machozi...ninavyojuwa mm barua ya posa haipokelewi hadi mtoa posa wa mwanzo aulizwe mipango yake na mke mtarajiwa....je Ruge aliitwa? akaambiwa kuna mtu anataka kuoa? na kama aliitwa alipewa nafasi gani? huyo zamaradi ni KAHUNI HAKO kabaonyesha dhahihi Ukiangalia KADOMO KAKE..NI KAHUNI HAKO....kamenogewa na hyo MESSION TOWN...Analeta visingizio......atajutia maamuzi yake..kuna siku tutashuhudia anadai matunzo ya watoto wake humu...na majuto mengine mengi tu...au aliposikia huyo mesdion town ni family ya MAJAALIWA ndy imemchanganya?
 
KARMA ...I BELIEVE IN IT.
 
Wewe hizi habari hauzijui na humjui ruge tulia....kwanza aliyekudanganya zamaradi hawezi kuwalea wale watoto ni nani.....kaa ujue zamaradi ni mfanyabiashara na biashara zake zinaweza kumwendeshea maisha yake bila kutetereka..........narudia wanaume msifikiri mkiwapa wanawake pesa majumba sijui magari ndiyo muone mmemaliza kazi muanze kufanya mtakacho eti kisa sijui pesa upupu gani binafsi heri niwe na mtu ambae hana hata mkeka wa kulalia kuliko kua na mtu kama ruge au kua na mwenye pesa ambae ananipa stress kwa tabia zake chafu
 
You nailed it kabisa.
 
Hii mitandao hiii!!!!! yaani mwanaume unadhalilika hivi hivi hadharani. Na kesho wanao watasikia voice note yako ulimlilia mama yao.... na kila mtu ataisikia. Tujifunze madhara ya kufanyiana hivi...
 
Mimi naongea kwa EXPERIENCE kubwa sana ya mahusiano....mara nyingi sn watu wanapoachana MWANAMKE ANAKUWA ANATAMBA kwamba ana uwezo...ana bwana mwenye uwezo wa kumjali na kumtunza..mwisho wa siku huyo mwanamke hujuta..na hayo ndy MANENO YENU ya kila siku kwamba MNATAKA mwanaune CARED hata kama hana kitu..sio PESA...huo ni uongo wa hali ya juu...tuulizeni sisi tulioko kwenye NDOA...anakwambiya tutaishi hata kama tutakula MCHANGA..sasa oa uone moto wake..kama atakubali shida zako...kwnz DUNIA YA LEO..ni ngumu mno kuishi na mwanamke mwenye kuzaa na DUME LINGINE tena watoto 2...elewa kabisa kuwa huyo KIJANA ata share mapenzi na RUGE..hilo halikwepeki...wanawake ni EASY KUKASIRIKA na EASY KUSAHAU...mambo yakitulia huyo zamaradi atalipeleka tu BUMUNDA kwa RUGE...ndy hapo atakapoanza majuto
 
Hizi unazoleta wewe ni ramli........anyway amini unachokiamini
 
Ndio Ruge kweli huyo? Noma sana. Sipatii picha hizi nondo ingekuwa vipi enzi kina Sugu wanamuimba. Anyway, ingekuwa mimi ningezuga ilikuwa 'for the Pussay challenge'. Kibongo bongo hataambulia chochote cha maana akiamua kwenda kisheria, damage done already.
 
Mzazi mwenza yule wasiwasi wa nini hata akiolewa si washaunganisha undugu kupitia watoto hawawezi achana Jumla,mapenzi yana nguvu,kitesacho ni mazoea
 
ruge piga wakina Nandy wale ,wacha kulia lia

sorry Nandy kama utaona ujumbe huu[emoji3]
Apige mara ngapi?...mbona ndio goma lake la kila siku.
haka ka ruge nako mpaka leo hakajaoa kanaishia kulizwa na vianamke vyeusi vibaya...arghhhhhhh...huyu muhaya wa hovyo kweli.
 
leo bingwa kapatikana ndo uanaume mateso ruge ,,na ww ulitesa watoto wa watu sana wacha upate experiance kidogo joh
my take;
kama umeolewa kaa kwa kutulia biashara ya kumrekodi mzazi mwenzio ni ushamba na udhalilishaji hata kwa watoto wako ,,
 
Apige mara ngapi?...mbona ndio goma lake la kila siku.
haka ka ruge nako mpaka leo hakajaoa kanaishia kulizwa na vianamke vyeusi vibaya...arghhhhhhh...huyu muhaya wa hovyo kweli.
ohoooo

atakua hajajipanga,maana ndo msemo wetu vijana[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…