Haki za kisheria za Ruge Mutahaba wa Clouds ni zipi baada ya kurekodiwa akilia kwenye simu?

Haki za kisheria za Ruge Mutahaba wa Clouds ni zipi baada ya kurekodiwa akilia kwenye simu?

ha ha ha ha ha ha ha jamaa anajua ku fake huyu ha ha ha ruge alivyo na mbunye nyingi hivi mjini da nimecheka sana
 
Hili suala ni fundisho tosha kwetu sisi wanaume,,hili kwnza linafundisha UAMINIFU ,,ina maana ZAMARADI hakuwa muaminifu kwenye mahusiano yao tangia mwanzo...Alichokuwa kinamliza RUGE NI FEDHEHA,,na UCHUNGU WA KUSALITIWA lakini PENGINE HATA hakuwa na MAPENZI yeyote kwa EX WAKE HUYO....nina maana kuwa hakuna kitu kinauma ktk mapenzi kama USALITI,,na siku zote mwanaume hawezi kutangaza ndoa kwa mwanamke , ,kama hakuwa na uhusiano na mwanamke kimapenzi,,inaonekana wazi HUYO DUME alikuwa AKIMTAFUNA HUYO ZAMARADI siku nyingi wakati bado yupo na RUGE,,,hivyo RUGE akifikiria yote hayo , anajiona ni MDHAIFU KWA KUPOKWA MWANAMKE,,,HICHO NDY KINACHOMLIZA RUGE, FEDHEHA, NA UCHUNGU WA KUSALITIWA NA MWANAMKE,,,means anakumbuka kumbe huyu ZAMARADI hakuwa mwaminifu kwangu...na siku zote KTK MAPENZI atakayewahi KUMWACHA MWENZIE ndy atakayekuwa na FARAJA kwa wakati ule....lakini mwisho wa siku yule aliyemwacha mwenzie ndy atakaye kuja kujuta.......kama mpenzi wako umemwacha bila kosa lolote na ukamfanya ATOKE MACHOZI KIASI HICHO..basi ..mwisho wa siku UTAKUJA KUJUTIA..hii ni PROVED 100%...lakini kama RUGE ndy aliyekuwa hataki ndoa na hakuwa na mapenzi ya kweli kwa zamaradi ,,, basi kilio chake ni kelele za chura tu KISIMANI
na mwanamke mpaka anaamua kutoka nje ujue ndani kumeshindikana.....
 
Nakubaliana na ww kuwa Ruge ni mtu mwenye nguvu na watu tuko tofauti, mm mwanamke tukiachana leo baada ya siku mbili namsahau. Naendelea na maisha yangu
Zaa na mwanamke watt wawili afu aolewe na bwana mwingine ndo urudi hp
 
wanawake wembamba acha tu huyo ana K tight kama tigo.....mwacheni jamaa alie tu
 
Huyo jamaa alikuwa anambandua hata kabla yupo na ruge.. sisi wanaume hatuwezi kuoa kabla hatuja gegeda... ukitaka kujua tabia za mkeo angalia marafiki zake tu...
Na tabia za Ruge kwendenii zenyuuuu
 
Kuna watu hawaelewi hiki kitu ...kuna wife material japo unamichepuko....watu wengi tunachepuka ...ila wife akizingua ndani na kutaka kusepa siyo kutoa kamasi kama za ruge ....unajiharishia kabisaaa
Kumbe!!!
 
Duuuh kwa mbunye zilivyokua nyingi unalia,huyo mlangira atakua boya watu wanaachana watoto 7 hawalii sembuse yeye wawili tena wa hawara
Mbunye zinafanana kwa majina tu
lkn namna yakuzitumia zinatofautiana......kwani Mchele wa KYELA na IFAKARA wote sini Mchele? Kwanini test inakuwa tofauti
 
Hahahahah. Nimecheka sana. Huyo mwanamke alikuwa anampa nini ambacho hawezi kupata kwingine mpaka atoe kilio chote hicho?
Usione watu wanapita Mchana wakiwa wamevaa Nguo na ndio maana Ngono inapigwa sirini maana ukiwakuta watu wanafanya yao huko Kitandani acha kabisa
 
Labda analia kwa sababu ya Watoto wake na Upendo wake kwa hao watoto!
 
Back
Top Bottom