Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo rahisi wengine zao zina gundi ya mbali lazima uisikilizie.Mambo ya kishamba kulia lia.....atafute mrembo mwingine mtamu zaid ya cheusi
Kuna tofauti kubwa sana kati ya 'Mke' na 'Hawara' (Mchepuko). Ruge alikuwa na zaidi ya mwanamke mmoja sawa. Je hao wanawake walikuwa wake zake au michepuko yake?Ruge ana zaidi ya mwanamke mmoja,hoja yako haina mashiko...tumemfuma analliaaa
Amini.., Amini nawaambieni bado nazidi kusimamia na kuiamini ile kauli kwamba ' Mke Mmoja Hudumaza Akili'
Mzee wangu aliwahi kuniambia mwanangu mke mmoja nuksi na atakupumbaza. 'Mke Mmoja Anadumaza Akili' mwanangu chonde chonde.
Binafsi mzee wangu alikuwa na wake zake watatu (Mke mkubwa, Mke wa pili na Mke wa tatu ambaye ni mama' angu mimi) na wote alikuwa anawapiga pumbu fresh kila mtu anasuuzika na kuridhika kiroho saaaaafi
Yaani kwa jinsi alivyokuwa anawapiga pumbu ilifika mahala hadi mke mkubwa + mke mdogo ambaye ni maza wakamshauri mzee aongeze mke mwingine tena manaake waliona sio vizuri wao watatu tu ndio waendelee kufaidi hiyo mashine na ukizingatia siku zote kizuri kula na mwenzio.
Narudia tena Mke Mmoja Anadumaza Akili.
Akili za kulialia kama huyu mwanaume mwenzetu bahati mbaya keshakuwa mwanaume wa dar ndio maana analia.kwa akili ya kupiga pumbu au? ha ha haha samahai mkuu
Mkuu mzee wangu show hakuwa anasaidiwaPumbu wapi wakati huyo unayemwita dingi alikuwa anasidiwa na mzee kipara wa pale jirani na wewe ndio mtoto wa mzee kipara?
Sema huyo dingi yako mlezi alikuwa na kifua hakukueleza haya. kuchapiwa siri ya ndani😀😀😀
Mkuu mzee wangu show hakuwa anasaidiwa
Tena hadi kwenye milima alikuwa anasimamia hakuna kuteremka kama kwenye baiskeli vile.
Zamaradi naye hajatulia. Inakuaje mke wa mtu unaongea na bwana wako wa zamani na unapromise kuwa alale "kesho nitakuja tuzungumze"? Unakwenda kuzungumza naye nini wakati umeshaamua kuolewa na mwingine? Utaomba ruhusa kwa mumeo au unakwenda kimyakimya? Huyo dogo aliyemwoa huyu dada ajiongeze mapema la sivyo akubali kugongewa na akina Ruge kila uchao.
Utamu wale haufanini na mwingineMambo ya kishamba kulia lia.....atafute mrembo mwingine mtamu zaid ya cheusi
Analilia papuch. Ndo uimagine ilikuwaje tamuje. [emoji23][emoji23][emoji23]Nimeshindwa kumsikiliza hadi mwisho, ni upumbavu mwanaume kulia lia kijinga kiasi hicho..
Njoo kuleeee [emoji87] [emoji87] [emoji87]Nakuthalimu[emoji2]
Wakuu kuna clip zimesambaa Jana za boss Ruge wa Clouds FM amerekodiwa na aliyekuwa mpenzi wake aliyezaa nae watoto 2 akimlilia huyo mwanamke asimuache, baada ya huyo mwanamke ambaye ni mtangazaji wa Cloud FM anayeitwa Zamaradi Mketema kuamua kuolewa na anayesemekana ni mtoto au mtu wa karibu na mh Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Je, anaweza kufungua shauri mahakamani akadai haki yake ya privacy kuingiliwa bila idhini yake. Wataalamu wa sheria mtusaidie.
My Take:
Nimeamini mapenzi yana nguvu, kwa jinsi jamaa alivyokuwa analia basi huyo dada anaonekana mtamu sana. Wanaume pia tuwe makini, tuache michepuko hawa wanawake wamekuwa makatili sana nowadays.