Uchaguzi 2020 Hakika Chama Cha Mapinduzi kipo mioyoni mwa watu

Uchaguzi 2020 Hakika Chama Cha Mapinduzi kipo mioyoni mwa watu

Wahuni wa ufipa hao kwani nani hakumbuki matukio yenu ya kutengeneza mlizika mbwa bila aibu kutaka kuhalalisha upuuzi tu!
Kweli wahuni wa ufipa hawa,si unawaona!
 

Attachments

  • 2449377_IMG_20200707_151227.jpg
    2449377_IMG_20200707_151227.jpg
    39.8 KB · Views: 1
CCM inamilikiwa na jiwe 100% ndio maana hata kura za HAPANA kwenye mkutano mkuu zimebadilishwa mara moja kuwa 100% jiwe.
Unazungumziaje aliyenyofowa kipengele cha ukomo wa mwenyekiti!
 
Chadema wakati janga la corona limeshika kasi walikua wananunua majeneza halafu usiku wanaenda makaburini kupiga picha kuwa kuna watu wengi sana wanakufa,wanazikwa usiku kwa kificho
Aisee! Kweli Chatle kuna limbwata zaidi ya la Bagamoyo au Sumbawanga! Yaani mkalishwa matango hadi mmekolea!
Haya huko Madagascar mnakotegemea mambo moto!
 
CCM inamilikiwa na jiwe 100% ndio maana hata kura za HAPANA kwenye mkutano mkuu zimebadilishwa mara moja kuwa 100% jiwe.
Ulimuona yule mgogo wa Kongwa anataja 100% huku anatetemeka? Kuna MTU kaniambia Jiwe kajichanjia damu ya simba hivyo washirikina wote (CCM) wakiwa mbele yake wanatetemeka na mama Jeska anayeijua siri anacheeeeka!
 
Huwezi amini nimepita kwenye media zote, kwenye mitandao ya kijamii.

Kila account ya MwanaCHADEMA wameweka matatizo yao pembeni wanazungumzia CCM chama dume.

Kufuatia mkutano wao mkuu ulioandaliwa mahususi na ufanisi mkubwa kumpata mpeperushaji wa bendera ya Uraisi Jamhuri ya Muungano na visiwani Zanzibar

Hii inadhihirisha ukongwe wa chama hiki na nini kinafanya ili waige yale yote
Kweli CCM itabaki juu daima
Mkuu bila kuwa na tume huru ya uchaguzi hatuwezi kuwa na moral justice ya kuliongelea hili. Mi nashauri tuwape wapinzani hiyo tume huru wanayoihitaji ili tuweze kutembea kifua mbele kwa furaha na kuliongea hili ulilolisema bila kupepesa macho.
 
Huwezi amini nimepita kwenye media zote, kwenye mitandao ya kijamii.

Kila account ya MwanaCHADEMA wameweka matatizo yao pembeni wanazungumzia CCM chama dume.

Kufuatia mkutano wao mkuu ulioandaliwa mahususi na ufanisi mkubwa kumpata mpeperushaji wa bendera ya Uraisi Jamhuri ya Muungano na visiwani Zanzibar

Hii inadhihirisha ukongwe wa chama hiki na nini kinafanya ili waige yale yote
Kweli CCM itabaki juu daima
Tumejipanga mwaka huu wataisoma
 
Back
Top Bottom