Uchaguzi 2020 Hakika Dkt. Magufuli haamini macho yake. Alifikiri A, imekuwa B!

Wewe ni 'mpuuzi' fulani ambaye unalipwa pesa kiduchu hapo Lumumba kulisha familia yako.
Pathetic!
Jibu hoja! ulipeleka wapi pesa ya mafao ya kuachishwa kazi na mafunzo ya ujasilia Mali mulipewa na ulikuwa underground miner kipi kimekushinda kwenda kuchimba au kufanya biashara nyingine mpaka umlaumu magufuli na je pale buzwagi ambapo Mali imeisha utamlaumu nani?.
 
Hahaaaaaa............ 😁 😛

Mzee wa Chato, kila akimuwazia Tundu Lissu, mapigo ya moyo ndiyo yanaongezeka maradufu!
Kweli kamanda!
Huwa anamuwazia sana kumpa kazi ndogondogo.
Nasikia wanabishana sana na Samia.
Dr anataka ampe ukurugenzi wa kiwanja cha ndege CHATO, wakati Samia anataka akabidhiwe kusimamima mbuga ya BURIGI.
 
Ni WANAFIKI na WACHUMIA TUMBO pekee kama wewe ndiyo wanao ikubali Ccm na pia kumkubali huyo magufuli.
Na wajinga wavivu na wapenda vya bule wasiopenda kutoka jasho,wacheza pool,wakubet ndio wanompenda tobolisu.
 
illusion..... usiyempenda unamuona ana mapembe.... hata kama hana..

kila kitu unaona kinyume...

Magu 2020 to +infinity

Heil JPM
 
wewe na wenzako mmewekwa kwenye 2% ya ushindi wa 98% wa JPM

Heil JPM... Viva Magu
Me mwenyewe kura yangu kwa Lissu....haiwezekani miaka mitano yote hii sijawahi kununua nguo dukani hata jeans moja tu.maisha magumu watoto wa wenye wanasoma tu na hakuna ajira
 
praise.com

Heil Jpm ... Viva Magu
 
hatutegemei mtu alie ameibiwa kura then[emoji3]

Viva Magu
Kuna barua inaandaliwa kutoka kwa Robert Amsterdam kwenda tume ya uchaguzi, hiyo Ndo itakata matumaini kabisa,

ile walitegemea ku- rig election haitakuwepo.

Au ile ya kutotatangaza mshindi mwaka huu haitakuwapo
 
Ila mzee wewe unatupenda sana makamanda.
Asante kwa kututia moyo.
Hata hivyo Lisu kishaanza kutuandaa kusingizia tumeibiwa kura matokeo yakitoka.
Anasema tuingie barabarani baada ya matokeo.
Nadhani hapo ndo tutakapoiona A ya JPM.
Sijui na sisi tutapigwa risasi za plastiki zinazokata kona kuufuata mguu wa kulia na kuuacha wa kushoto zilikotokea?
 
Kumbe huyu mzee nae anafuatiliana kampeni kupitia time kwa kigogo
 
Na wajinga wavivu na wapenda vya bule wasiopenda kutoka jasho,wacheza pool,wakubet ndio wanompenda tobolisu.

UVCCM mwaka huu kazi mnayo. Mgombea wenu hakubaliki, na huo ndiyo ukweli. Itambidi aandae kofia nyingi sana za kuwavisha akina Diamond na Shoro Mwamba jukwaani. Hana namna!

Maana hao ndiyo wanaomsaidia kuwavuta wananchi kuhudhuria mikutano yake ya kampeni.
 
Upinzani upi?
Upinzani umeishakata roho
 
Magufuli hakubaliki anachokosea n kutoshaurika. Ni vile tume haipo huru vingnevyo mitano ingemuhusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…