Hakika hakuna anayeweza kumridhisha mwanamke, maneno ya Dr. Mwaka yaingizwe kwenye katiba mpya

Hakika hakuna anayeweza kumridhisha mwanamke, maneno ya Dr. Mwaka yaingizwe kwenye katiba mpya

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056


Wahenga wanasema mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Hapo juu ni video yenye maneno kuntu kutoka kwa huyu Dr wa mchongo.


Maneno haya ni ya hekima kubwa na yanapaswa yakae vifuani kwetu sisi wanaume, yaingizwe kwenye katiba mpya

Hatuwezi kubadili Biblia au Misahafu ila hili ndilo neno la uokovu wa wanaume kutoka kwenye utumwa wa-kike

NI CHUNGU KUMEZA, LAKINI NDIYO DAWA
 
Dokta kakubwa na dhahama kidogo ameamua kubadilisha gia angani hehehehe atulie dawa imuingie si alikuwa ana fanya interview na wake watatu huyu anasema sisi hatujui kukaa na wanawake kwenye ndoa.
 
Hakuna mtu ninayemchukia kama Dr mwaka namchukia sana,kwanza nani amesema kunachakuridhishana ,let me give you some advice so you can learn something,.

Mwanadamu haridhiki ila anaendana na hali aliyoichagua.
Mwanamke au mwanaume akipenda anatosheka hata usipompa kitu ila kama hakupendi anademand vitu ili uende , mwanaume anayekujali hademand sex anaomba sex anabembeleza ukibembelezwa ujue unapendwa hata mwanamke anapenda sex kabisa ila haforce anaomba mtu yule kipenzi chake .


So if mtu amekupenda , ni amekuheshimu , so haforce vitu ambavyo vinadhiri mwili wako na aafya Yako . Atakujali nakukupenda . Atajitolea Kisa anakupenda
 
Back
Top Bottom