MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
- #21
Atakua kachakatwa kwa namna asivyotegemeaAlikupiga pesa kwenye matibabu fake ya homoni au alikuahidi ndoa hewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakua kachakatwa kwa namna asivyotegemeaAlikupiga pesa kwenye matibabu fake ya homoni au alikuahidi ndoa hewa?
Aliniibia bwanaAlikupiga pesa kwenye matibabu fake ya homoni au alikuahidi ndoa hewa?
Mnao lialia ni nyie kisha utaka nani awaelewe? Mtapigwa matukio mpaka mjue hakuna mwanamke anayetaka mwanaume asiye ridhika.Taratibu taratibu utaelewa conntext ya kuridhika yetu sisi wanaume. By nature sisi ni polygamist
Mimi nitakuchukulia Kama mlinziiHawa wanawake usiwapende sana ukiwatreat kama vyombo vya starehe hawatakusumbua na utabaki na amani ya akili hata itokee akazingua
Kwahiyo Dr Mwaka ni shoga au siyo?Aliniibia bwana
Hapo Sasa sijui muulize Kwa upoleKwahiyo Dr Mwaka ni shoga au siyo?
Rudi darasani tena. Dr. Mwaka yupo sahihi mnoo.Hakuna mtu ninayemchukia kama Dr mwaka namchukia sana,kwanza nani amesema kunachakuridhishana ,let me give you some advice so you can learn something,.
Mwanadamu haridhiki ila anaendana na hali aliyoichagua.
Mwanamke au mwanaume akipenda anatosheka hata usipompa kitu ila kama hakupendi anademand vitu ili uende , mwanaume anayekujali hademand sex anaomba sex anabembeleza ukibembelezwa ujue unapendwa hata mwanamke anapenda sex kabisa ila haforce anaomba mtu yule kipenzi chake .
So if mtu amekupenda , ni amekuheshimu , so haforce vitu ambavyo vinadhiri mwili wako na aafya Yako . Atakujali nakukupenda . Atajitolea Kisa anakupenda
Yeye kaoa kaachwa bado unamuaminiRudi darasani tena. Dr. Mwaka yupo sahihi mnoo.
Vunja ukimya, humpendi kabisa Dr Mwaka kwani jee?Hapo Sasa sijui muulize Kwa upole
Huyo anishike hata vidole seriously aih hapana aisee . Nimtu muongo muongoVunja ukimya, humpendi kabisa Dr Mwaka kwani jee?
Hapa kuna mawili tu, Mimi nikiwa ni PhD holder kuna kila ushahidi kama tabibu Mwaka hajakupiga pesa Kwa matibabu fake basi ulimpa Tunda akalichakata akaenda nje ya promise zake kwako.
Najuwa hapo utañiona kama mchawi nimejuwaje lakini huo ndio ukweli wenyewe, hii PhD sikuipata hivihivi ili nibaki kama nilivyokuwa.
Biashara si unajua nae alikuwa anauza za kuboost tendo la ndoa so ilikuwa lazima avutie kwake tumuone yupo fiti kumbe ndani hali yake hovyo.Leo ndo kajua haya. Si alikua anatamba kuwaelewa na kuwawezea mpaka kumiliki watatu
Uongo una category zake, ila huyu uongo wake ni kwenye hizo Tiba zake ambazo kimsingi wateja wake ni wanawake.Huyo anishike hata vidole seriously aih hapana aisee . Nimtu muongo muongo
Halafu usikute hata hizo ndoa zilikuwa za mchongo ili awaoneshe makolo wake kwamba yupo fiti awe role model wao aendelee kuwalaghuwa booster, wakati booster ni mazoezi tu na vyakula.Biashara si unajua nae alikuwa anauza za kuboost tendo la ndoa so ilikuwa lazima avutie kwake tumuone yupo fiti kumbe ndani hali yake hovyo.
Mwaka kaongea vizuri huu ujumbe utaishi vizazi na vizazi na hadi milele. Mwanamke hatosheki kwa chochote.View attachment 2513245
Wahenga wanasema mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Hapo juu ni video yenye maneno kuntu kutoka kwa huyu Dr wa mchongo.
Maneno haya ni ya hekima kubwa na yanapaswa yakae vifuani kwetu sisi wanaume, yaingizwe kwenye katiba mpya
Hatuwezi kubadili Biblia au Misahafu ila hili ndilo neno la uokovu wa wanaume kutoka kwenye utumwa wa-kike
Mi nipo Arusha weka Hilo kibongo lako kwenye charge limeisha moto mtu muislamu wapi nawapi na mie nawaogopaga sanaUongo una category zake, ila huyu uongo wake ni kwenye hizo Tiba zake ambazo kimsingi wateja wake ni wanawake.
Hapa umepigwa pesa au umevuliwa chupi si zaidi ya hayo mawili.
HakikaMwaka kaongea vizuri huu ujumbe utaishi vizazi na vizazi na hadi milele. Mwanamke hatosheki kwa chochote.
Kubali point yake ila na wewe hio ndio mtazamo wako, huu ujumbe wa Dr Mwaka ni reference ya bustani ya Eden hakuna reference bora kama hio, sema Mwaka hajapenda kuiweka katika namna inayokera.Hakuna mtu ninayemchukia kama Dr mwaka namchukia sana,kwanza nani amesema kunachakuridhishana ,let me give you some advice so you can learn something,.
Mwanadamu haridhiki ila anaendana na hali aliyoichagua.
Mwanamke au mwanaume akipenda anatosheka hata usipompa kitu ila kama hakupendi anademand vitu ili uende , mwanaume anayekujali hademand sex anaomba sex anabembeleza ukibembelezwa ujue unapendwa hata mwanamke anapenda sex kabisa ila haforce anaomba mtu yule kipenzi chake .
So if mtu amekupenda , ni amekuheshimu , so haforce vitu ambavyo vinadhiri mwili wako na aafya Yako . Atakujali nakukupenda . Atajitolea Kisa anakupenda