Hakika hakuna anayeweza kumridhisha mwanamke, maneno ya Dr. Mwaka yaingizwe kwenye katiba mpya

Hakika hakuna anayeweza kumridhisha mwanamke, maneno ya Dr. Mwaka yaingizwe kwenye katiba mpya

Hakuna mtu ninayemchukia kama Dr mwaka namchukia sana,kwanza nani amesema kunachakuridhishana ,let me give you some advice so you can learn something,.

Mwanadamu haridhiki ila anaendana na hali aliyoichagua.
Mwanamke au mwanaume akipenda anatosheka hata usipompa kitu ila kama hakupendi anademand vitu ili uende , mwanaume anayekujali hademand sex anaomba sex anabembeleza ukibembelezwa ujue unapendwa hata mwanamke anapenda sex kabisa ila haforce anaomba mtu yule kipenzi chake .


So if mtu amekupenda , ni amekuheshimu , so haforce vitu ambavyo vinadhiri mwili wako na aafya Yako . Atakujali nakukupenda . Atajitolea Kisa anakupenda
Rudi darasani tena. Dr. Mwaka yupo sahihi mnoo.
 
Hapo Sasa sijui muulize Kwa upole
Vunja ukimya, humpendi kabisa Dr Mwaka kwani jee?

Hapa kuna mawili tu, Mimi nikiwa ni PhD holder kuna kila ushahidi kama tabibu Mwaka hajakupiga pesa Kwa matibabu fake basi ulimpa Tunda akalichakata akaenda nje ya promise zake kwako.

Najuwa hapo utañiona kama mchawi nimejuwaje lakini huo ndio ukweli wenyewe, hii PhD sikuipata hivihivi ili nibaki kama nilivyokuwa.
 
Vunja ukimya, humpendi kabisa Dr Mwaka kwani jee?

Hapa kuna mawili tu, Mimi nikiwa ni PhD holder kuna kila ushahidi kama tabibu Mwaka hajakupiga pesa Kwa matibabu fake basi ulimpa Tunda akalichakata akaenda nje ya promise zake kwako.

Najuwa hapo utañiona kama mchawi nimejuwaje lakini huo ndio ukweli wenyewe, hii PhD sikuipata hivihivi ili nibaki kama nilivyokuwa.
Huyo anishike hata vidole seriously aih hapana aisee . Nimtu muongo muongo
 
Leo ndo kajua haya. Si alikua anatamba kuwaelewa na kuwawezea mpaka kumiliki watatu
Biashara si unajua nae alikuwa anauza za kuboost tendo la ndoa so ilikuwa lazima avutie kwake tumuone yupo fiti kumbe ndani hali yake hovyo.
 
Biashara si unajua nae alikuwa anauza za kuboost tendo la ndoa so ilikuwa lazima avutie kwake tumuone yupo fiti kumbe ndani hali yake hovyo.
Halafu usikute hata hizo ndoa zilikuwa za mchongo ili awaoneshe makolo wake kwamba yupo fiti awe role model wao aendelee kuwalaghuwa booster, wakati booster ni mazoezi tu na vyakula.
 
View attachment 2513245

Wahenga wanasema mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Hapo juu ni video yenye maneno kuntu kutoka kwa huyu Dr wa mchongo.


Maneno haya ni ya hekima kubwa na yanapaswa yakae vifuani kwetu sisi wanaume, yaingizwe kwenye katiba mpya

Hatuwezi kubadili Biblia au Misahafu ila hili ndilo neno la uokovu wa wanaume kutoka kwenye utumwa wa-kike
Mwaka kaongea vizuri huu ujumbe utaishi vizazi na vizazi na hadi milele. Mwanamke hatosheki kwa chochote.
 
Hakuna mtu ninayemchukia kama Dr mwaka namchukia sana,kwanza nani amesema kunachakuridhishana ,let me give you some advice so you can learn something,.

Mwanadamu haridhiki ila anaendana na hali aliyoichagua.
Mwanamke au mwanaume akipenda anatosheka hata usipompa kitu ila kama hakupendi anademand vitu ili uende , mwanaume anayekujali hademand sex anaomba sex anabembeleza ukibembelezwa ujue unapendwa hata mwanamke anapenda sex kabisa ila haforce anaomba mtu yule kipenzi chake .


So if mtu amekupenda , ni amekuheshimu , so haforce vitu ambavyo vinadhiri mwili wako na aafya Yako . Atakujali nakukupenda . Atajitolea Kisa anakupenda
Kubali point yake ila na wewe hio ndio mtazamo wako, huu ujumbe wa Dr Mwaka ni reference ya bustani ya Eden hakuna reference bora kama hio, sema Mwaka hajapenda kuiweka katika namna inayokera.
 
Back
Top Bottom