Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaWanasema kapiga kwenye mshono
Ndiyo uanaume🤣🤣 baada ya kupigwa na tukio ndo anakumbuka shuka kumekucha!
Alijikuta ye ndo kaipatia ndoa kuliko wote🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,at last now atapunguza kelele mana instagram adi comments ameturn off jinsi gani mambo yamemwendea mrama🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nina marafiki wema sana waislamu, naomba tuweke pembeni mambo ya faith.Mi nipo Arusha weka Hilo kibongo lako kwenye charge limeisha moto mtu muislamu wapi nawapi na mie nawaogopaga sana
AiseeeView attachment 2513245
Wahenga wanasema mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Hapo juu ni video yenye maneno kuntu kutoka kwa huyu Dr wa mchongo.
Maneno haya ni ya hekima kubwa na yanapaswa yakae vifuani kwetu sisi wanaume, yaingizwe kwenye katiba mpya
Hatuwezi kubadili Biblia au Misahafu ila hili ndilo neno la uokovu wa wanaume kutoka kwenye utumwa wa-kike
NI CHUNGU KUMEZA, LAKINI NDIYO DAWA
Kwani Dr mwaka anasemaje?Huyo mwanaume anayeridhika anapatikana Dunia gani? Mkumbuke mwanamke ni zao la mwanaume, ametolewa ubavuni mwenu......kutwa mnajisifia wanaume hamridhiki, kama mwanamke ametokana na nyinyi....hence X=Y
Ukweli hakuna kiumbe anayeridhika, ila tu jamii ya kale ilifanikiwa kumdhibiti mwanamke na kumfanya aishi kwenye misingi iliyowekwa, ndo ikaonekana mwanamke anaweza kuridhika wakati mwanaume hawezi, hiki kizazi cha usawa ndo mambo yanakorogeka🤣🤣🤣
Hata wanawake watakutreat hivyo hivyo ,kisha utakuja Julia hapa wanawake wa sikuhizi hawafai.Hawa wanawake usiwapende sana ukiwatreat kama vyombo vya starehe hawatakusumbua na utabaki na amani ya akili hata itokee akazingua
nabii hakubaliki kwaoBaada ya kupigwa tukio,ndio kichwa kinafanya kazi
Nabii hakubaliki kwaoYeye mwenye kuridhika kila uchwao ana badili mbususu za kila rangi.
Kabisaaa Mimi huwa nawashangaa wanavyojipa haki yakutoridhika.ila ukikuta mwanaume anayejitambua hawezi kujisifia ujinga kama huo.Huyo mwanaume anayeridhika anapatikana Dunia gani? Mkumbuke mwanamke ni zao la mwanaume, ametolewa ubavuni mwenu......kutwa mnajisifia wanaume hamridhiki, kama mwanamke ametokana na nyinyi....hence X=Y
Ukweli hakuna kiumbe anayeridhika, ila tu jamii ya kale ilifanikiwa kumdhibiti mwanamke na kumfanya aishi kwenye misingi iliyowekwa, ndo ikaonekana mwanamke anaweza kuridhika wakati mwanaume hawezi, hiki kizazi cha usawa ndo mambo yanakorogeka🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 Wataelewa tu mwaka huu, wanavyotaka na sisi tunataka.Mnao lialia ni nyie kisha utaka nani awaelewe? Mtapigwa matukio mpaka mjue hakuna mwanamke anayetaka mwanaume asiye ridhika.
Wanaume wa kibongo wajingawajinga sana🤣🤣🤣🤣 Wataelewa tu mwaka huu, wanavyotaka na sisi tunataka.
Wakati wao wanataka mwanamke mwenye tako, msomi, mwenye adabu, mweupe, mwenye K ya moto, mchamungu, nyonyo lisilale hata akinyonyesha.....na akikosa kimojawapo wanachepuka huku wakijifariji men are polygamist in nature🤣🤣
Sie pia tunataka mwanaume mrefu, mweusi, msikivu, mwenye six packs(asiote kitambi Hadi uzeeni), mwenye Hela, awe na muda na sisi, pia akitupa mimba tuzae vitoto vizuri shombe shombe flani hivi🤣🤣🤣🤣🤣
Hoja hupingwa na hoja iliyo boraKabisaaa Mimi huwa nawashangaa wanavyojipa haki yakutoridhika.ila ukikuta mwanaume anayejitambua hawezi kujisifia ujinga kama huo.