MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Tunaoshindwa kumiliki mmoja tukaonekana mbuziLeo ndo kajua haya. Si alikua anatamba kuwaelewa na kuwawezea mpaka kumiliki watatu
Hekima inakuja na umri mkuuLeo ndo kajua haya. Si alikua anatamba kuwaelewa na kuwawezea mpaka kumiliki watatu
Wanaume hatuna mambo mengi, ni kuchakata papuchi tu, tuna rdhika sijui nyinyi wavulanaKwani kuna mwanamke anaweza kumlizisha mwanaume ? Yeye si ana wake watatu mbona hakulidhika na mmoja.
Mbwa kala dogi.Kwani kuna mwanamke anaweza kumlizisha mwanaume ? Yeye si ana wake watatu mbona hakulidhika na mmoja.
Angeridhika asingekuwa na wanawake watatu na bado ana michepuko kibao.Wanaume hatuna mambo mengi, ni kuchakata papuchi tu, tuna rdhika sijui nyinyi wavulana
Taratibu taratibu utaelewa conntext ya kuridhika yetu sisi wanaume. By nature sisi ni polygamistAngeridhika asingekuwa na wanawake watatu na bado ana michepuko kibao.
Hakika mkuuHuo ndio ukweli, mwanamke hatosheki hiyo ndio nature yake, Sasa nashangaa eti wanasema wanaume ndio hawatosheki, sio kweli mwanaume anatosheka sana
HakikaMwaka sasa kakua, Kawa mwanaume na si mvulana tena.
Dr Mwaka karibu sana huku kwenye kundi la wanaume.
Baniani mbaya kiatu chake dawaHakuna mtu ninayemchukia kama Dr mwaka namchukia sana
Alikupiga pesa kwenye matibabu fake ya homoni au alikuahidi ndoa hewa?Hakuna mtu ninayemchukia kama Dr mwaka namchukia sana