Kenya 2022 Hakika hakuna cha kujifunza kutoka katika Uchaguzi Mkuu wa Kenya

Kenya 2022 Hakika hakuna cha kujifunza kutoka katika Uchaguzi Mkuu wa Kenya

Kenya 2022 General Election
Zote porojo ndugu,matokeo yalitakiwa yawe tayari
Wale sio kama sisi.Tume yao ipo huru.Tume inatakiwa iwe makini.Kukiwa na longo longo lolote mgombania yupo huru kufungua kesi ya kupinga matokeo.Na mahakama ilishawahi kuyafutilia mbali matokeo ya urais Kenya.
 
Wale sio kama sisi.Tume yao ipo huru.Tume inatakiwa iwe makini.Kukiwa na longo longo lolote mgombania yupo huru kufungua kesi ya kupinga matokeo.Na mahakama ilishawahi kuyafutilia mbali matokeo ya urais Kenya.
Huo siyo Uhuru Bali ni uchu tu wa wagombea,deep state inataka lake na upinzani anataka lake,huu uchaguzi vurugu lazima
 
Nikiwa napitia katika mitandao mbalimbali ya kijamii nchini niliona baadhi ya wanaharakati, wafuasi na viongozi wa vyama vya upinzani wakidai kuwa Tanzania inapaswa kujifunza kutoka uchaguzi Mkuu wa Kenya. Wakidai kuwa uchaguzi huo ni huru na wa haki.

Kwa ufuatiliaji nilioufanya katika uchaguzi huo kwa kweli sijaona hicho kinachodiwa kuwa uchaguzi huo ni huru na wa haki. Sioni kama kuna la kujifunza kutoka katika uchaguzi huo kwa sababu zifuatazo:-

#13/08/2022 Daniel Musyoka Msimamizi wa Uchaguzi wa Tume ya Uchaguzi (IEBC) aliripotiwa kutoweka na mpaka sasa haijulikani alipo.

#13/08/2022 iliripotiwa kuhusu uwepo wa dalili za wizi wa kura katika baadhi ya maeneo ambayo inadaiwa William Ruto amepata kura nyingi ambapo ilielezwa kuwa kura katika vifaa vya KIEMS hazilingani na idadi iliyopo katika Makaratasi.

#12/08/2022 iliripotiwa kuwa Maafisa wa Tume wameitisha Kikao cha Dharura baada ya sintofahamu kutokea katika Ukumbi wa kuhakiki kura za Urais, baada ya Kompyuta kuingizwa ukumbini kinyume na Taratibu.

#12/08/2022 iliripotiwa kuhusu msimamizi wa uchaguzi kukutwa na karatasi za kupigia kura katika kituo cha kuhesabia kura cha Jamhuri katika Jimbo la starehe.

#10/08/2022 iliripotiwa kuwa Polisi wawili na Raia mmoja walikutwa na karatasi za kupigia kura zenye tiki. Pia, Miongoni mwa vifaa vingine vilivyokutwa nao ni sahihi moja ya wapiga kura, Madaftari 2 ya matokeo ya Uchaguzi, pakiti mbili za karatasi za kupigia kura za Urais.

# Kubwa zaidi na la kusikitisha ni kwamba mpaka sasa Tume huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) haijatangaza matokeo ya kura za Urais pasipo sababu za msingi huku siku zikizidi kwenda hii inatilia mashaka juu ya matokeo yatakayotangazwa kama yatakuwa na uhalisia.

Katika mazingira haya, kweli watanzania wenye akili timamu wanawezaje kuishauri serikali iige kinachotokea Kenya? Ni kweli kuwa viongozi wa vyama vya upinzani wataweza kusubiri wiki nzima bila kujua aliyeshinda?.

Kitendo cha Vyombo vya habari kutangaza matokeo kiliwafanya wanaharakati pamoja na viongozi wa vyama vya upinzani kuamini kuwa kufanya hivyo ndio uhuru na haki, tujiulize hiyo haki sasa iko wapi? Hivi hamuoni kuwa mlijichanganya kuwahi kuongea bila kufukiria mwisho wa mnachokisema utakuwa nini? Kutofikiria kwenu kumewafanya mkose la kuongea baada ya hali inayoendelea kujitokeza.

Hii ni ishara ya ukosefu wenu wa uweledi katika mambo makubwa yanayohusu uongozi wa nchi.
Angalau hakuna kupita bila kupingwa.
 
Nikiwa napitia katika mitandao mbalimbali ya kijamii nchini niliona baadhi ya wanaharakati, wafuasi na viongozi wa vyama vya upinzani wakidai kuwa Tanzania inapaswa kujifunza kutoka uchaguzi Mkuu wa Kenya. Wakidai kuwa uchaguzi huo ni huru na wa haki.

Kwa ufuatiliaji nilioufanya katika uchaguzi huo kwa kweli sijaona hicho kinachodiwa kuwa uchaguzi huo ni huru na wa haki. Sioni kama kuna la kujifunza kutoka katika uchaguzi huo kwa sababu zifuatazo:-

#13/08/2022 Daniel Musyoka Msimamizi wa Uchaguzi wa Tume ya Uchaguzi (IEBC) aliripotiwa kutoweka na mpaka sasa haijulikani alipo.

#13/08/2022 iliripotiwa kuhusu uwepo wa dalili za wizi wa kura katika baadhi ya maeneo ambayo inadaiwa William Ruto amepata kura nyingi ambapo ilielezwa kuwa kura katika vifaa vya KIEMS hazilingani na idadi iliyopo katika Makaratasi.

#12/08/2022 iliripotiwa kuwa Maafisa wa Tume wameitisha Kikao cha Dharura baada ya sintofahamu kutokea katika Ukumbi wa kuhakiki kura za Urais, baada ya Kompyuta kuingizwa ukumbini kinyume na Taratibu.

#12/08/2022 iliripotiwa kuhusu msimamizi wa uchaguzi kukutwa na karatasi za kupigia kura katika kituo cha kuhesabia kura cha Jamhuri katika Jimbo la starehe.

#10/08/2022 iliripotiwa kuwa Polisi wawili na Raia mmoja walikutwa na karatasi za kupigia kura zenye tiki. Pia, Miongoni mwa vifaa vingine vilivyokutwa nao ni sahihi moja ya wapiga kura, Madaftari 2 ya matokeo ya Uchaguzi, pakiti mbili za karatasi za kupigia kura za Urais.

# Kubwa zaidi na la kusikitisha ni kwamba mpaka sasa Tume huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) haijatangaza matokeo ya kura za Urais pasipo sababu za msingi huku siku zikizidi kwenda hii inatilia mashaka juu ya matokeo yatakayotangazwa kama yatakuwa na uhalisia.

Katika mazingira haya, kweli watanzania wenye akili timamu wanawezaje kuishauri serikali iige kinachotokea Kenya? Ni kweli kuwa viongozi wa vyama vya upinzani wataweza kusubiri wiki nzima bila kujua aliyeshinda?.

Kitendo cha Vyombo vya habari kutangaza matokeo kiliwafanya wanaharakati pamoja na viongozi wa vyama vya upinzani kuamini kuwa kufanya hivyo ndio uhuru na haki, tujiulize hiyo haki sasa iko wapi? Hivi hamuoni kuwa mlijichanganya kuwahi kuongea bila kufukiria mwisho wa mnachokisema utakuwa nini? Kutofikiria kwenu kumewafanya mkose la kuongea baada ya hali inayoendelea kujitokeza.

Hii ni ishara ya ukosefu wenu wa uweledi katika mambo makubwa yanayohusu uongozi wa nchi.
Majizi na walamba asali kila nchi yapo.
 
IEBC haijawahi endesha uchaguzi huru na haita tokea, haiwezekani watu waliopiga kura wawe wengi zaidi ya walio jiandikisha hiyo sio error ni mistake, afisa wa IEBC kupotea sio mapungufu hayo ni udhaifu, hata media ambazo tunaambiwa zilikuwa huru zikifanya hivyo Kwa sababu ni corrupted, corrupted media ambazo kila media alikuwa na matokeo yake ya Urais iliko chukua pesa, wewe kama ni mfuasi wa A tazama matokeo Tv fulani , Kwa ufupi Media wangeliingiza Taifa la Kenya pabaya, Kwa sababu Leo hii ikimwambia mwananchi kuwa A Kashindwa ana kuambia haiwezekani sisi tulikuwa tuna ongoza Citizens or NTV, sasa nani atakubali kushindwa Kwa mfumo huo?

Kwa hiyo hata media zilikuwa Zina hamasisha wizi wa kura ilimradi mtu wangu aonekana mshindi.

Sasa hapo tuna jifunza nini? , Labda Kwa upinzani Kuna SoMo la kujifunza kama Kenya kuwa na mipango kamili ya kuiba kura, hili litasaidia sana kuitoa CCM madarakani, wenzenu hawalali hadi wana hack system, so wako well planned.
 
Tukubali kenya kwene swala la democrasia kwene siasa zao na uchaguzi kwa Afrika wanaweza wakawa top 2 bila ubishi.... Kuna ushindani halali kabisa, husikii ujinga wa kuwekana ndani na campaign zipo free Sanaa..
 
Uchaguzi wa kenya sio wa ki kabila ila siasa za Kenya ndio una u kabila.... Bila kuficha kenya wametuzidi kwene swala la democrasia ya uchaguzi
[emoji2]
IMG-20220815-WA0020.jpg
 
Nikiwa napitia katika mitandao mbalimbali ya kijamii nchini niliona baadhi ya wanaharakati, wafuasi na viongozi wa vyama vya upinzani wakidai kuwa Tanzania inapaswa kujifunza kutoka uchaguzi Mkuu wa Kenya. Wakidai kuwa uchaguzi huo ni huru na wa haki.

Kwa ufuatiliaji nilioufanya katika uchaguzi huo kwa kweli sijaona hicho kinachodiwa kuwa uchaguzi huo ni huru na wa haki. Sioni kama kuna la kujifunza kutoka katika uchaguzi huo kwa sababu zifuatazo:-

#13/08/2022 Daniel Musyoka Msimamizi wa Uchaguzi wa Tume ya Uchaguzi (IEBC) aliripotiwa kutoweka na mpaka sasa haijulikani alipo.

#13/08/2022 iliripotiwa kuhusu uwepo wa dalili za wizi wa kura katika baadhi ya maeneo ambayo inadaiwa William Ruto amepata kura nyingi ambapo ilielezwa kuwa kura katika vifaa vya KIEMS hazilingani na idadi iliyopo katika Makaratasi.

#12/08/2022 iliripotiwa kuwa Maafisa wa Tume wameitisha Kikao cha Dharura baada ya sintofahamu kutokea katika Ukumbi wa kuhakiki kura za Urais, baada ya Kompyuta kuingizwa ukumbini kinyume na Taratibu.

#12/08/2022 iliripotiwa kuhusu msimamizi wa uchaguzi kukutwa na karatasi za kupigia kura katika kituo cha kuhesabia kura cha Jamhuri katika Jimbo la starehe.

#10/08/2022 iliripotiwa kuwa Polisi wawili na Raia mmoja walikutwa na karatasi za kupigia kura zenye tiki. Pia, Miongoni mwa vifaa vingine vilivyokutwa nao ni sahihi moja ya wapiga kura, Madaftari 2 ya matokeo ya Uchaguzi, pakiti mbili za karatasi za kupigia kura za Urais.

# Kubwa zaidi na la kusikitisha ni kwamba mpaka sasa Tume huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) haijatangaza matokeo ya kura za Urais pasipo sababu za msingi huku siku zikizidi kwenda hii inatilia mashaka juu ya matokeo yatakayotangazwa kama yatakuwa na uhalisia.

Katika mazingira haya, kweli watanzania wenye akili timamu wanawezaje kuishauri serikali iige kinachotokea Kenya? Ni kweli kuwa viongozi wa vyama vya upinzani wataweza kusubiri wiki nzima bila kujua aliyeshinda?.

Kitendo cha Vyombo vya habari kutangaza matokeo kiliwafanya wanaharakati pamoja na viongozi wa vyama vya upinzani kuamini kuwa kufanya hivyo ndio uhuru na haki, tujiulize hiyo haki sasa iko wapi? Hivi hamuoni kuwa mlijichanganya kuwahi kuongea bila kufukiria mwisho wa mnachokisema utakuwa nini? Kutofikiria kwenu kumewafanya mkose la kuongea baada ya hali inayoendelea kujitokeza.

Hii ni ishara ya ukosefu wenu wa uweledi katika mambo makubwa yanayohusu uongozi wa nchi.
Ngumi zimeanza huko 😜😜😜😜
 
Uchaguzi wa Tanzania, kama kweli upo, ni takataka kabisa na hakuna Afrika nzima. Eti RPC anafahamu wabunge wote na madiwani katika mkoa wake hata kabla ya tarehe ya uchaguzi..!!

Hata huyu IGP mpya aliyeteuliwa majuzi hapo alipo anajua woooote watakaokuwa 'washindi' wa viti vya ubunge, udiwani na urais katika uchaguzi wa mwaka 2025.

Pamoja na mapungufu yaliyopo kwenye uchaguzi wa Kenya lkn huwezi kulinganisha na uchaguzi wa Tanzania ambapo chama kinachoshiriki kwenye uchaguzi ndicho kinaandaa na kuusimamia huo uchaguzi na baadaye kinajitangaza kushinda kwa kishindo. Bure kabisa.
 
Ya kujifunza yapo. Tunapojifunza kuns kuboresha, kukwepa ama kurudia yale yale.
Uchaguzi ni mchakato wenye hatua zake.
Sitaki kuamini kuwa hatuna cha kujifunza kwenye hatua zote za uchaguzi wa Kenya kuanzia upatikanaji wa wagombea, kampeni hadi sasa.
Mwisho uchaguzi wa kidemocrasia una vimbwanga vyake hata ka ungekuwa ni wa UK, US au China au Vatican.
Tukubali kujifunza kitu! Sisi tuna muda hadi 2025!

Angalia ukomavu hapo kwa Sakaja na Igathe - Tanzania huwezi kupata picha za midahalo na mapokeo mazuri ya matokeo kwa sababu hakuna uchaguzi!

View attachment 2323788View attachment 2323789
Sidhani kama kutakuwa na jipya iwapo katiba ni ile ile na NEC bado ipo chini ya Mahela
 
Yaani Tukajifunze Uchaguzi wa Kikabila
Utakuwa Upuuzi ulio pindukia
Naona labda unajaribu kuwa mchekeshaji.
Mambo ya msingi ya kujifunza ni:
-Hatua zote zilisimamiwa na watendaji toka IEBC, ambayo ni tume huru isiyo na wateule wala wafanyakazi wa serikali/chama tawala.
-Palikuwa na uwazi toka uandikishaji wa wapiga kura, wagombea, kampeni, kupiga na kuhesabu kura mpaka kutoa matokeo.
-Hakuna kilichofichwa. Yeyote angeweza kupata taarifa zozote kuhusu hatua/maendeleo ya uchaguzi bila kubugudhiwa na vyombo vya dola.
-Pale ambapo kuna asieridhika na mwenendo au matokeo katika hatua yoyote yuko huru kutafuta haki mahakamani.
 
Usishindane na dola yoyote kwenye masuala ya uchaguzi, matokeo yake huwa yanajulikana ukifanya nao ushindani wa aina yoyote ile. Watakachokuambia kazi yako ni kutii tu bila shuruti.
Katiba mpya ndio itawakomboa kifikra wahitimu chuo cha Humprey Polepole
 
Palikuwa na uwazi na umakini ili kupata mshindi wa kweli/haki. Sio huku ambako matokeo yanapangwa bila hata kuhesabu kura. Ndio kazi ya wateule.
Fuatilia,wameibiana Kura kinoma,huo uwazi ni maigizo ya uchaguzi huru,haki na wazi
 
IEBC haijawahi endesha uchaguzi huru na haita tokea, haiwezekani watu waliopiga kura wawe wengi zaidi ya walio jiandikisha hiyo sio error ni mistake, afisa wa IEBC kupotea sio mapungufu hayo ni udhaifu, hata media ambazo tunaambiwa zilikuwa huru zikifanya hivyo Kwa sababu ni corrupted, corrupted media ambazo kila media alikuwa na matokeo yake ya Urais iliko chukua pesa, wewe kama ni mfuasi wa A tazama matokeo Tv fulani , Kwa ufupi Media wangeliingiza Taifa la Kenya pabaya, Kwa sababu Leo hii ikimwambia mwananchi kuwa A Kashindwa ana kuambia haiwezekani sisi tulikuwa tuna ongoza Citizens or NTV, sasa nani atakubali kushindwa Kwa mfumo huo?

Kwa hiyo hata media zilikuwa Zina hamasisha wizi wa kura ilimradi mtu wangu aonekana mshindi.

Sasa hapo tuna jifunza nini? , Labda Kwa upinzani Kuna SoMo la kujifunza kama Kenya kuwa na mipango kamili ya kuiba kura, hili litasaidia sana kuitoa CCM madarakani, wenzenu hawalali hadi wana hack system, so wako well planned.
Uwazi unawezesha ufuatiliaji wa kila anaetaka kujiridhisha. Hapa kwetu kufuatilia ni makosa makubwa. Kila kitu ni siri ya ma DED/wateule
 
Back
Top Bottom