Hakika mke wa mtu ni sumu, kilichonitokea jana siwezi kurudia tena

Hakika mke wa mtu ni sumu, kilichonitokea jana siwezi kurudia tena

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Kiukweli mke wa mtu ni sumu na za mwizi ni arobaini hichi ndicho kitu ambacho kimenitokea jana maeneo ya maeneo ya Kimara gest x yaaani sio poa kabisa nusura na mimi pia niwe wa upande wa pili.

Jana wakuu nusura nipigwe mambo ila tu kwakuwa nilitumia Maarifa ya mtaa nikachoropoka kwa minjemba kama tano na tayari nilipakwa mafuta ya kula aisee Ile jamaa kutaka kufanya mambo tu nikachoropoka na boxer mpaka maeneo nikachukua bajaji mpaka maskani yaani aisee wakuu jana haikuwa poa kabisa
 
Upakwe mafuta alafu uchoropoke!
tapatalk_1670163878863.jpeg
 
Kiukweli mke wa mtu ni sumu na za mwizi ni arobaini hichi ndicho kitu ambacho kimenitokea jana maeneo ya maeneo ya kimara gest x yaaani sio poa kabisa nusura na mimi pia niwe wa upande wa pili.

Jana wakuu nusura nipigwe mambo ila tu kwakua nilitumia Maarifa ya mtaa nikacholopoka kwa minjemba kama tano na tayari nilipakwa mafuta ya kula aisee Ile jamaa kutaka kufanya mambo tu nikachoropoka na boxer mpaka maeneo nikachukua bajaji mpaka maskani yaani aisee wakuu jana haikua poa kabisa
Mpaka wanafanikiwa kukupaka mafuta, maana yake waliipalaza palaza sana.

Wanaume watano ndani ya chumba, umewacholopokaje?
 
Hii story ni ya kutunga na kama ni ya kweli basi umeipotosha kidogo ila ni kwamba walikufirimba.

Maana kama ulishapakwa wese la kula hiyo boxer uliivaje tena? Ni kwamba wamekukula na umekipenda hicho kitendo kiasi cha kuja kufungua uzi hapa.

Leo nenda kwa jamaa umchane kuwa umeelewa pigo za mafuta ya kula akufanye mkewe tu ili muwe wake wenza na demu wako.
 
Back
Top Bottom