Hakika mke wa mtu ni sumu, kilichonitokea jana siwezi kurudia tena

Hakika mke wa mtu ni sumu, kilichonitokea jana siwezi kurudia tena

Hii story ni ya kutunga na kama ni ya kweli basi umeipotosha kidogo ila ni kwamba walikufirimba.

Maana kama ulishapakwa wese la kula hiyo boxer uliivaje tena? Ni kwamba wamekukula na umekipenda hicho kitendo kiasi cha kuja kufungua uzi hapa.

Leo nenda kwa jamaa umchane kuwa umeelewa pigo za mafuta ya kula akufanye mkewe tu ili muwe wake wenza na demu wako.
Huyu muongo
 
Tulichukua video ukiwa unachoropoka👇😁😁😁
 
Kiukweli mke wa mtu ni sumu na za mwizi ni arobaini hichi ndicho kitu ambacho kimenitokea jana maeneo ya maeneo ya Kimara gest x yaaani sio poa kabisa nusura na mimi pia niwe wa upande wa pili.

Jana wakuu nusura nipigwe mambo ila tu kwakuwa nilitumia Maarifa ya mtaa nikachoropoka kwa minjemba kama tano na tayari nilipakwa mafuta ya kula aisee Ile jamaa kutaka kufanya mambo tu nikachoropoka na boxer mpaka maeneo nikachukua bajaji mpaka maskani yaani aisee wakuu jana haikuwa poa kabisa
Wewe utakua tahira
 
Babu yangu mwanajeshi alikua akinisimulia stori nyingi kipindi analitumikia jeshi kwenye vita, moja kati ya ninazokumbuka ni hii[emoji116]

Kuna siku walikamatwa na maadui wakiwa kama mtu 3 wakaambiwa wachague mawili kati ya kuuwawa au kubakwa halafu waachiliwe.

Guess what muanzisha uzi[emoji28][emoji28][emoji3516]
 
We Sema tu wamekula ila kwa mbinde [emoji1] [emoji1787]
Yaani umepambana ila ndio hivyo tena
 
poleee samaki polee wanavo kula jicho kichwa wakampa paka😂. kunatofauti kati mafuta na mafta sema ukwel tu
 
Kiukweli mke wa mtu ni sumu na za mwizi ni arobaini hichi ndicho kitu ambacho kimenitokea jana maeneo ya maeneo ya Kimara gest x yaaani sio poa kabisa nusura na mimi pia niwe wa upande wa pili.

Jana wakuu nusura nipigwe mambo ila tu kwakuwa nilitumia Maarifa ya mtaa nikachoropoka kwa minjemba kama tano na tayari nilipakwa mafuta ya kula aisee Ile jamaa kutaka kufanya mambo tu nikachoropoka na boxer mpaka maeneo nikachukua bajaji mpaka maskani yaani aisee wakuu jana haikuwa poa kabisa
Pole sana kwa kutatuliwa marinda. Kama ulishapakwa mafuta kamwe huwezi kuchoropoka. Ni kwamba umeshatatulia marinda, hauna marinda ndugu!!!! Pole sana!!!
 
Sema jamaa umevumilia jamaa tano zmetindua marinda na bado umepata nguvu za kuja kuandika ivi ilibid sa ivi uwe hospital ila una uvumilivu
 
Mimi bado nalia na wake za watu tu, kwanini? Wanakubalia watu wakati wao wapo kwenye ndoa zao ila polee sanaa maana ungeenda kupata maumivu ambayo ungeyamisi siku ingine na kuanza kututafuta tuendeleze ili usiwe unaumia Kwa hamu ya tendo ambalo ungelifeel iyo jana
 
Kiukweli mke wa mtu ni sumu na za mwizi ni arobaini hichi ndicho kitu ambacho kimenitokea jana maeneo ya maeneo ya Kimara gest x yaaani sio poa kabisa nusura na mimi pia niwe wa upande wa pili.

Jana wakuu nusura nipigwe mambo ila tu kwakuwa nilitumia Maarifa ya mtaa nikachoropoka kwa minjemba kama tano na tayari nilipakwa mafuta ya kula aisee Ile jamaa kutaka kufanya mambo tu nikachoropoka na boxer mpaka maeneo nikachukua bajaji mpaka maskani yaani aisee wakuu jana haikuwa poa kabisa
Nitaongea na wengi humu, najua nini ni wadogo. mkumbukeni Muumba wenu wakati bado mnayo nafasi, duniani tunapita kabisa. uzinzi ni dhambi, hata ufanye sana kuna arobaini yako utakuja kujuta tu. ajabu yake ni kwamba, watu wanaogopa waume zao au ukimwi au chochote cha dunia hii, wanashindwa kumwogopa Mungu wa mbinguni anayewaona wanavyofanya kila kitu, na anakataza hicho kitu. nilishafanya sana uzinzi, nikaja kujua kuwa namkosea sana Mungu tena kwa kuhofia wanadamu badala ya kumhofia yeye. Mungu anao uwezo kutoa dhabu kali kuliko hizo mnazoziogopa. Mwogopeni Mungu, Mwogopeni Mungu, Mumheshimu Mungu, iweni watakatifu hasa ninyi mnaobeba vyombo vya Bwana, na hata ninyi msiobeba vyombo vya Bwana jueni ya kuwa, dhambi ni uasi na usipotubu na kuacha, haitakuacha salama. Mungu awasaidie.
 
Back
Top Bottom