Hakika mke wa mtu ni sumu, kilichonitokea jana siwezi kurudia tena

Hakika mke wa mtu ni sumu, kilichonitokea jana siwezi kurudia tena

Unatuambia kabisa walikupitishia juu juu😅😂

R.I.P
 
Kwamba ulikuwa unateleza wakijaribu kukushika sio, Yah! Nakuelewa mkuu pole sana.
 
1 Alipakwa mafuta it means kibomba kilitekenywa wakt wa upakaji
2. Wanaume 5 ndan ya guest it means mlango ulifungwa uliwezaje kuchomoka na kuvaa boksa na pia kupita mlangoni mwa wanaume 5 wkt mwanzo walikuzidi nguvu mpk wakafanikiw kukupaka mafuta
 
Kiukweli mke wa mtu ni sumu na za mwizi ni arobaini hichi ndicho kitu ambacho kimenitokea jana maeneo ya maeneo ya Kimara gest x yaaani sio poa kabisa nusura na mimi pia niwe wa upande wa pili.

Jana wakuu nusura nipigwe mambo ila tu kwakuwa nilitumia Maarifa ya mtaa nikachoropoka kwa minjemba kama tano na tayari nilipakwa mafuta ya kula aisee Ile jamaa kutaka kufanya mambo tu nikachoropoka na boxer mpaka maeneo nikachukua bajaji mpaka maskani yaani aisee wakuu jana haikuwa poa kabisa
Kwa hiyo mafuta ya kula ulimwagiwa ndani ya boksa?
 
Tena wangekupasua speaker kabisa Ina maana malaya hamuwaoni
Hao Malaya wanaroho za magonjwa na umaskini mkuu speaking from experience Bora angepiga puchu tu au atafute demu usiwafagilie Sana hao watu
 
Huyu mleta uzi ni muongo na hajitambui kuna siku alileta uzi akawa anawaponda wote wanaoutumia simu za infinix na Tecno kisa yeye anatumia Samsung A 22 ni limbukeni au anatafuta watu wawe wanamsafisha mfereji wa Suezi [emoji855][emoji855][emoji855]
Ndo anaelekea kukazwa
 
Kiukweli mke wa mtu ni sumu na za mwizi ni arobaini hichi ndicho kitu ambacho kimenitokea jana maeneo ya maeneo ya Kimara gest x yaaani sio poa kabisa nusura na mimi pia niwe wa upande wa pili.

Jana wakuu nusura nipigwe mambo ila tu kwakuwa nilitumia Maarifa ya mtaa nikachoropoka kwa minjemba kama tano na tayari nilipakwa mafuta ya kula aisee Ile jamaa kutaka kufanya mambo tu nikachoropoka na boxer mpaka maeneo nikachukua bajaji mpaka maskani yaani aisee wakuu jana haikuwa poa kabisa
Kwa hiyo mpaka sasa unafaa kuitwa "mpakwa mafuta"?
 
Kiukweli mke wa mtu ni sumu na za mwizi ni arobaini hichi ndicho kitu ambacho kimenitokea jana maeneo ya maeneo ya Kimara gest x yaaani sio poa kabisa nusura na mimi pia niwe wa upande wa pili.

Jana wakuu nusura nipigwe mambo ila tu kwakuwa nilitumia Maarifa ya mtaa nikachoropoka kwa minjemba kama tano na tayari nilipakwa mafuta ya kula aisee Ile jamaa kutaka kufanya mambo tu nikachoropoka na boxer mpaka maeneo nikachukua bajaji mpaka maskani yaani aisee wakuu jana haikuwa poa kabisa
Yaani uchoropoke watu watano na walishakupaka mafuta?[emoji23][emoji23]ebu tuache kidogo
 
Back
Top Bottom